Unaambiwa Wana wagombea Wanapendwa sana kama Nkuma, John Mrema na Dovotha MinjaCHAUMA haijawahi kufanya vizuri kwenye uchaguzi mkuu. Haitegemewi chama hicho kupata mbunge hata mmoja labda ccm iwalegezee kamba nao wapate wawili watatu
Mzee amechokaHiiii,mbona Mzee wa Ubwawa yupo,ama hataki kiti?je Mrema g55 naye hataki?
Wasiliana na kina KigailaNipo tayari kuokoa jahazi! Wanichukue mimi nitahakikisha sera ya ubwabwa inakonga nyoyo za watanzania wote na tunashinda uchaguzi!
Wabarikiwe.Wasiukimbie uchaguziChauma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Rekebisha hapo kakaChauma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
tunasubiri wachukue fomu tuone kama watafua dafu hata mbele ya ACT WazalendoUnaambiwa Wana wagombea Wanapendwa sana kama Nkuma, John Mrema na Dovotha Minja
Hahaha,Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70
Bila shaka ww ni chawa wa chaumaChaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Tangu lini chama cha siasa ni lazima kiwe na mgombea wa urais?Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
SawaTangu lini achama cha siasa ni lazima kiwe na mgombea wa urais?
Amandla...
Chauma ubwabwa chawa chawa cha ibirisi ccm, kina Laana kubwa ya Lisu wao baada ya kuona Lisu yupo jela huku nyuma wakaolewa ndoa ya mkeka na chauma kwa mshenga mbowe na makala kuwasokomeza kwa bwana wao chauma pasipo kutafakari, watapataje mgombea makini wakati wengi wao ni vilaza watupuChaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Mkuu una utani mbaya wewe !Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma
Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.
Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.
Stay tuned.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Anapima upepo😁😁😁"Mwamba tuvushe"