Tetesi: GE2025 CHAUMMA wahaha kusaka Mgombea urais

Tetesi: GE2025 CHAUMMA wahaha kusaka Mgombea urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Huwa unatoa wapi hivi vichekesho???
 
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Chama cha mama si wanaye mrema kwa nini wanaumiza kichwa 😀 😀
 
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Mgombea wao kapima kina cha maji kaingia mitini
 
Waende tu na Mzee wa Ubwabwa! Wasiwasi wangu kwenye mikutano yao wataishia kuzomewa.
 
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Wampe Joni au bensoni
 
Kama waliishiwa hela ya mafuta ya Edikopta unadhani wanaweza kuendelea tena,wampe sasa mkuu Kigaila agombee mana hata mzee Spunda hawezi kukubali
 
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Waende kwa shibuda
 
Wakimteua Titus Nkuma kugombea urais, asiende Tanga hususan wilaya za Lushoto, Korogwe, Mkinga na Muheza kuomba kura.
 
Chaumma wanaumiza kichwa kumsaka mgombea uraisi wa mwaka huu. Chama icho chenye wanasiasa majabari na wabobezi wa Siasa kama John Mrema na Vitus Nkuma

Kipo chimbo kufanya analysis ya jinsi watakavyo uendea uchaguzi mkuu.

Wachambuzi wa Siasa wanasema Kwa jinsi CHAUMMA inavyokubalika uenda chama icho kikashinda majimbo zaidi ya 70.

Stay tuned.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Wamteue mtu anayekula ubwabwa wa maharage kwa umahiri awe mgombea wao.
 
Back
Top Bottom