Tetesi: GE2025 CHAUMMA wahaha kusaka Mgombea urais

Tetesi: GE2025 CHAUMMA wahaha kusaka Mgombea urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wamchukue majaliwa
Huyu kwanza apitie veta.
Hiki cheo kifutwe mana kinawatesa wahusika muda wake ukiisha na kinmaliza kodi zetu.,
Wengi wao walijaribu kete ya kugombea urais bila mafanikio. Na huyu ana ndoto hiyo ikifika 2030 sijui nani kamshauri ndio pale U turn ilipojitokeza.
 
Inawezekana CHAUMMA kikawa moto unaowaka chini kwa chini......chama cha ZITTO kinaenda kukosa ushawishi.......CHADEMA mkiwadharau wazee wa mpunga shauri yenu.
 
Chama hakijawahi hata kupata Diwani tangu kisajiliwe leo kipate Wabunge 70.
Nina uhakika Samia atawapa viti. Wao na ACT. Ila siyo vingi. 70 wao CCM watabaki na nini? Kitu kitakachofanyika ni kupewa viti vichache na wengine kupewa ukoo wa mikoa au wilaya au teuzi ndogo ndogo ila wengi wataula wa chuya. CCM wenyewe wanawaona kama mbwa wa mwenye sherehe anavyowaona mbwa wa jirani wanaokuja kudoea.
 
Hayo majimbo sabini yanaokotwa wapi na mimi nikaokote japo moja pekee, Chauma kitakuwa chabinafsi
 
Back
Top Bottom