Igundu nsonda
Member
- Apr 29, 2017
- 88
- 48
Kajenge na ww kwenu fanya maendeleo kwako pakiwa na muonekano mzuri ni mkoa Tosh's mengine mwachie JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Funny, punda wa Chato wana traffic lights!Kweli kabisa watu ni wengi Chato ndiyomaana Punda wanatumia traffic lights.
Igundu Nsonda... Mwadhila!Kajenge na ww kwenu fanya maendeleo kwako pakiwa na muonekano mzuri ni mkoa Tosh's mengine mwachie JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli mbwiga hizo traffic light unamaanisha ni za pale mizaniAcha wehu KAMANDA uchwara wewe, mbona traffic light zipo nyingi tu vijijini, nenda Tinde zipo, Mikese zipo,Usagara zipo nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna wa kusema fyoko ni zamu ya kanda maarum!! Kila rahisi akifanya ukabila huu na upendeleo namna hii nchi t safari ndefuu sanaa kwenye uzalendo!!!! Unaweka mpwa ili mkwapue vizuriii!!
Na walioachishwa kazi B.O.T?Ruangwa ilikuwa tarafa chini ya Wilaya ya Lindi, kama ni kuendelea bado sana. Population ya mji haifiki 10,000. So bado sana.
Magufuli ni mkabila toka alipokuwa waziri, alimpa nyumba ya serikali mdogo wake ambaye hakuwa mtumishi wa umma.
Ruangwa haikua chini ya wilaya ya Lindi,Ruangwa ilikuwa chini ya Wilaya ya Nachingwea.Ruangwa ilikuwa tarafa chini ya Wilaya ya Lindi, kama ni kuendelea bado sana. Population ya mji haifiki 10,000. So bado sana.
Magufuli ni mkabila toka alipokuwa waziri, alimpa nyumba ya serikali mdogo wake ambaye hakuwa mtumishi wa umma.
Maneno haya tumeyasikia tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.Viongozi wengi wa ccm wanafahamu kwamba chama chao kimebakiwa na miaka mitatu tu kuongoza Tanzania ( liwake jua au inyeshe mvua ) , kwahiyo wanashindana kufa na kupona kujipendelea .
Hembu pitiapitia kwa Mange kimambi huwezi kosa vitu kama hivyo.weka picha wacha kutulisha wali mkavu
Acha wehu KAMANDA uchwara wewe, mbona traffic light zipo nyingi tu vijijini, nenda Tinde zipo, Mikese zipo,Usagara zipo nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruangwa unapafahamu mkuuJF Kwenu.
Kuna mambo yanashangaza sana kwenye awamu hii. Miradi mingi inaonekana kufanywa bila feasibility study,bajeti,ulazima wala kutangazwa tenda.
Hivi kuna haja ya kujenga airport Chato?Kuna haja ya traffic lights kijijini? Nimefika huko.Nimefika pia Bukoba, hakuna taa za barabarani kwa kuwa hakuna msururu wa magari.Ofisi ya TRA Chato!Katoro pamechangamka kibiashara kuliko Chato. Msd shop!Au ni zile pesa za kuahirisha sherehe za 9 Desemba na nyinginezo?
Maajabu hayaishi. Ruangwa kwa Waziri Mkuu wamezindua duka la Msd.Amezindua Premier mwenyewe.Eti litahudumia Wilaya za Liwale, Kilwa na Nachingwea. Sababu? Ruangwa iko katikati. Kumbuka maduka mengine ya Medical Stores Department yako kwenye mikoa mikubwa/yenye watu wengiar es Salaam,Arusha, Mwanza na Mbeya.
Ikiwa Chato na Ruangwa ni mikoa mipya basis tujulishwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaongozea pikipiki na baiskeli mkuuMoshi ni mji mkubwa sana na una magari mengi sana lakini hakuna traffic light lakini Chattle tayari! maajabu ya CCM.
Leo mmekuja na "liwake jua inyeshe mvua " ..........kale ka kauli mbiu kenu ka "afe kipa afe beki" kameishia wapi vileViongozi wengi wa ccm wanafahamu kwamba chama chao kimebakiwa na miaka mitatu tu kuongoza Tanzania ( liwake jua au inyeshe mvua ) , kwahiyo wanashindana kufa na kupona kujipendelea .