Chato na Ruangwa Inaweza Kuwa Mikoa Mipya?

Unajua wilaya ya Ruangwa ni kubwa kuliko MKOA wa Kilimanjaro? Unajua mkoa wa Geita una WATU wengi kuliko Mkoa wa Kilimanjaro? And yet hawana airport hawana High School hawana referral hospital. Kwa nini nao wasifaidi matunda ya maendeleo kuliko wenzao wa Kilimanjaro? Kuna ubaya gani kujenga airport Chato wakati Arusha Airport ilijengwa pua na mdomo na KIA wakati Waziri Mkuu alikuwa ni mtu wa huko na Waziri wa Miundombinu alikuwa ni mtu wa huko na Waziri wa Fedha alikuwa ni wa huko? Iweje Tundulissu hakulalamika eti kuna Ukanda? Mbona watu wa huko hawaipendi sasa CCM pamoja na kuwaletea maendeleo yote hayo? Mnafikiri Watz hawaoni?
Bill Marconi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilipokuwa kila kitu kinapelekwa Moshi ilikuwa sahihi tu,ila sasa wanapelekewa wengine imekuwa shida si ndio ........ Kila mtu kashtuka kwa sasa,kama kila kitu kilipelekwa kwa viongozi wa juu basi wacha na wao wapeleke makwao.
Nani alikua anapeleka? Hustle/Struggle zetu wenyewe watu wa Kaskazini usihusishe na upendeleo wa kiongozi yoyote. Moshi imeendelea kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wengi wa ccm wanafahamu kwamba chama chao kimebakiwa na miaka mitatu tu kuongoza Tanzania ( liwake jua au inyeshe mvua ) , kwahiyo wanashindana kufa na kupona kujipendelea .
Duuuuh, alafu Chama mbadala kiko wapi..
 
Ruangwa ni kijiji tu cha kishenzi hapapazidi Masasi Ila kwa upumbavu wa mkapa akashindwa kupafanya mkoa halafu hawa vijana wake wanaaamua kuzijenga wilaya zao,yani Ruangwa ni bush ,Chato ni bush ila si wameamua kuwa kama Mobutu Seseko hawa jamaa na upumbavu Wetu Watz tunazidi kuwashangulia kila siku
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wakati wa Nyerere nchi haikuwa na pesa,Kawawa ni wa hapa hapa Dar,Mwinyi kwake ZNZ ile ni nchi,Mkapa ye mkewe ni wa huko Moshi,Kikwete wizara nyingi zilishikwa na wao.Una swali jingine bi dada ...??
Majibu dhaifu kinyama !
 
Mzee wa awamu ya tatu alipoondoka madarakani watu wakabeza kuwa huyu mtu kaongoza miaka kumi ila hakuna alichofanya NTWARA, imebaki vile vile..sasa hao wanataka angalau wafanye chochote home wasije wakachekwa kama mzee yule
 
Ruangwa ni kijiji tu cha kishenzi hapapazidi Masasi Ila kwa upumbavu wa mkapa akashindwa kupafanya mkoa halafu hawa vijana wake wanaaamua kuzijenga wilaya zao,yani Ruangwa ni bush ,Chato ni bush ila si wameamua kuwa kama Mobutu Seseko hawa jamaa na upumbavu Wetu Watz tunazidi kuwashangulia kila siku
Weee Ruangwa siyo kijiji. Ni wilaya kubwa kuliko mkoa mzima wa Kilimanjaro. Hawana uwezo wa kujenga lami wala KIA wala umeme vijijini hadi migombani, sorry, migungani. Wenzao wa Kilimanjaro walisaidiwa na serkali ya CCM kuwasiliana na wahisani Japan, wakati huo Waziri Mkuu ni wa huko na Waziri wa Fedha ni wa huko. Lakini leo hawaitaki CCM wameshashiba bado tu kutapika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu hayaishi. Ruangwa kwa Waziri Mkuu wamezindua duka la Msd.Amezindua Premier mwenyewe.Eti litahudumia Wilaya za Liwale, Kilwa na Nachingwea. Sababu? Ruangwa iko katikati.
Kwani Ruangwa sio Tanzania?Hakuna wagonjwa?
Ikiwa Chato na Ruangwa ni mikoa mipya basis tujulishwe.
Acha majungu,ni nyie mnaosema kusini hakuna maendeleo kwa kuwa wamechagua ccm,acheni wapelekewe maendeleo
Hivi kuna haja ya kujenga airport Chato?Kuna haja ya traffic lights kijijini? Nimefika huko.Nimefika pia Bukoba, hakuna taa za barabarani kwa kuwa hakuna msururu wa magari.Ofisi ya TRA Chato!Katoro pamechangamka kibiashara kuliko Chato. Msd shop!Au ni zile pesa za kuahirisha sherehe za 9 Desemba na nyinginezo?
Weka picha
 
JF Kwenu.
Kuna mambo yanashangaza sana kwenye awamu hii. Miradi mingi inaonekana kufanywa bila feasibility study,bajeti,ulazima wala kutangazwa tenda.

Hivi kuna haja ya kujenga airport Chato?Kuna haja ya traffic lights kijijini? Nimefika huko.Nimefika pia Bukoba, hakuna taa za barabarani kwa kuwa hakuna msururu wa magari.Ofisi ya TRA Chato!Katoro pamechangamka kibiashara kuliko Chato. Msd shop!Au ni zile pesa za kuahirisha sherehe za 9 Desemba na nyinginezo?

Maajabu hayaishi. Ruangwa kwa Waziri Mkuu wamezindua duka la Msd.Amezindua Premier mwenyewe.Eti litahudumia Wilaya za Liwale, Kilwa na Nachingwea. Sababu? Ruangwa iko katikati. Kumbuka maduka mengine ya Medical Stores Department yako kwenye mikoa mikubwa/yenye watu wengi:Dar es Salaam,Arusha, Mwanza na Mbeya.
Ikiwa Chato na Ruangwa ni mikoa mipya basis tujulishwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
P.u.m.b.a.f.u, we hizi wilaya ziko nyuma kwa kila kitu, leo kupata viti vidogo wachaga mnatokwa povu! Hivi enzi za Msuya Barbara hazikupelekwa hadi milimanj? Mbona hamkuchongoa mdomo? Acheni wivu wa kijinga na walosahaulika angalau waone Maendeleo ya nchi yao.
 
Unajua wilaya ya Ruangwa ni kubwa kuliko MKOA wa Kilimanjaro? Unajua mkoa wa Geita una WATU wengi kuliko Mkoa wa Kilimanjaro? And yet hawana airport hawana High School hawana referral hospital. Kwa nini nao wasifaidi matunda ya maendeleo kuliko wenzao wa Kilimanjaro? Kuna ubaya gani kujenga airport Chato wakati Arusha Airport ilijengwa pua na mdomo na KIA wakati Waziri Mkuu alikuwa ni mtu wa huko na Waziri wa Miundombinu alikuwa ni mtu wa huko na Waziri wa Fedha alikuwa ni wa huko? Iweje Tundulissu hakulalamika eti kuna Ukanda? Mbona watu wa huko hawaipendi sasa CCM pamoja na kuwaletea maendeleo yote hayo? Mnafikiri Watz hawaoni?
Bill Marconi

Sent using Jamii Forums mobile app
My dear Marconi, Arusha ni mji wa kitalii, sawa na Kilimanjaro. Yalikuwa makao makuu ya EAC. Geita ilikuwa wilaya, sasa mkoa.
Hatuongelei kwa mtazamo wa kichama au kikanda. Tunaongelea kuhusu preference na distribution of scarce resources. Hatuna chuki na mtu kwa kuwa yuko chama fulani au anatoka kanda fulani. Pole kama hilo limekuumiza.
Msukuma Msukuma tu..ata apewe nini

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
P.u.m.b.a.f.u, we hizi wilaya ziko nyuma kwa kila kitu, leo kupata viti vidogo wachaga mnatokwa povu! Hivi enzi za Msuya Barbara hazikupelekwa hadi milimanj? Mbona hamkuchongoa mdomo? Acheni wivu wa kijinga na walosahaulika angalau waone Maendeleo ya nchi yao.
Mkuu,si kila unayetofautiana naye ni mchaga. Punguza jazba na matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom