Kweliwanaongozea pikipiki na baiskeli mkuu
Tinde sehemu gani kamanda
sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
Umeelewa swali kweli ?Hata hii mikoa inayojiona imeendelea ni kutokana na kutoa viongozi wengi toka uhuru, hivyo keki ya Taifa kuliwa upande.
Naamini Utawala wa Magufuli utajali sana ile mikoa maskini.
Nyerere , Kawawa Mwinyi , Mkapa , Kikwete na Malecela walitokea Moshi ?Ilipokuwa kila kitu kinapelekwa Moshi ilikuwa sahihi tu,ila sasa wanapelekewa wengine imekuwa shida si ndio ........ Kila mtu kashtuka kwa sasa,kama kila kitu kilipelekwa kwa viongozi wa juu basi wacha na wao wapeleke makwao.
Wakati wa Nyerere nchi haikuwa na pesa,Kawawa ni wa hapa hapa Dar,Mwinyi kwake ZNZ ile ni nchi,Mkapa ye mkewe ni wa huko Moshi,Kikwete wizara nyingi zilishikwa na wao.Una swali jingine bi dada ...??Nyerere , Kawawa Mwinyi , Mkapa , Kikwete na Malecela walitokea Moshi ?
Pelekeni na Iramba basi maana na sisi sio wa moshi. Ila ungeelewa point moja tu, nayo ni mgawanyo wa mapato ili kuijunga nchi na si kujenga sehemu alotoka kiongozi wa nchi. Je, miradi hii inapangwa na kuidhinishwa lini na wapi kama si mkuu mmoja anasema tu leta pesa huku.Ilipokuwa kila kitu kinapelekwa Moshi ilikuwa sahihi tu,ila sasa wanapelekewa wengine imekuwa shida si ndio ........ Kila mtu kashtuka kwa sasa,kama kila kitu kilipelekwa kwa viongozi wa juu basi wacha na wao wapeleke makwao.
We hakuna unachokielewa,mtoa mada anazungumzia UPENDELEO,sio kwamba sehemu zingine hakuna kinachofanyika. Sasa wewe unaongea kama vile sehemu zingine hakuna kinachofanyika.Pelekeni na Iramba basi maana na sisi sio wa moshi. Ila ungeelewa point moja tu, nayo ni mgawanyo wa mapato ili kuijunga nchi na si kujenga sehemu alotoka kiongozi wa nchi. Je, miradi hii inapangwa na kuidhinishwa lini na wapi kama si mkuu mmoja anasema tu leta pesa huku.
Mawazo ya la saba!Acha iwe mikoa tu! Au mlitaka mikoa mipya iwe Hai na Singida Mashariki? Na sisi tunahitaji maendeleo pia. Hizi zingine ni chuki binafsi haziwasaidii kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chato haiko kusini. Maendeleo yanategemea aina ya watu waliopo mahali penye kutaka maendeleo sio kaskazini wala kusini.Wewe mtuma post ni mbinafsi sana. Pia lazima ujue mikoa kama Kilimanjaro, Arusha na Kagera ilipata maendeleo muda mrefu sana. Mikoa hii ya kusini iliminywa sana kimaendeleo, tena kwa makusudi mazima. Ili kwa sababu waliopewa dhamana kipindi hicho mikoa yao haswa hii mitatu niliyoitaja
Kitu ambacho unapaswa kujua ni kwamba hii keki ya taifa ni kwa ajili ya watanzania wote wala sio kwa ajili mikoa hiya mitatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyoooooooo....Hili andiko iko siku litakuja kutumika kufundishia darasani , nimestuka .
Maana wataleta hoja kwamba , kama chato pana uwanja wa ndege , pana ofisi ya TRA Kwanini usiwe mkoa ?
Wanaosema ndioooooo waseme !
Baulize...Nyerere , Kawawa Mwinyi , Mkapa , Kikwete na Malecela walitokea Moshi ?
Ruangwa ikiwa Mkoa je itakua na wilaya zipi?Jimbo lilisahaulika ila si kwa kusema iwe Mkoa,sema waboreshe na kuongeza miundombinu.Ruangwa naombea Sana Iwe Mkoa, Katika wilaya ambazo zilisahaulika ni pamoja na Ruangwa, Ahsante Mh Majaliwa Mimi Siyo CCM Ila jitihada zako Katika Jimbo lako tunaziona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukuma Msukuma tu..ata apewe niniSoon chato itakuwa kama new York
Ova