Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Nyumba ya kawaida sana ...hata rangi za ukutani zimechubuka.
Ni maisha yetu ya watanzania wa kawaida...lipo la kujifunza hapa
Lakini B 39 katenga kwa ajili ya airport ni uleule tu ng'ombe 1000 halafu mtu analalia ngozi, ila kina sundi wamechukua nyumba za serikali itakuwa culture.