Nini kirefu cha gpt?Uzi huu ni kwa ajili ya kushare chats na screenshot za chatgpt sessions.
Haya tuanze kazi!
Akajifanya kukupa mipango miingi, si angesema tu sina hela 😂Mchoyo uyu jamaa
Self creativity and most of readings .. Chat pt inalemaza ubunifuOh 😳 kaka mshona jr hutumii chatgpt? Unapata wapi maarifa ya Dunia?
eti jamani,kaniona sina io mipango hajui ninayo ila leo nimekwama kidogo 😂Akajifanya kukupa mipango miingi, si angesema tu sina hela 😂
au basCan't use that that...sijui kwanini
Play store download app,,zama ndani mengine utayakuta umo umoToeni elimu na sisi tusiojua nyuma wala mbele kuihusu tujifunze namna ya kuitumia.
kanikwaza sanaAisee !
nowadays watu hawashungulishi brain kabisa kitu kidogo wanakimbilia AISelf creativity and most of readings .. Chat pt inalemaza ubunifu
😂😂eti jamani,kaniona sina io mipango hajui ninayo ila leo nimekwama kidogo 😂
Inalemaza inaua ubunifu.. Unakuwa na maarifa fekinowadays watu hawashungulishi brain kabisa kitu kidogo wanakimbilia AI
SawaHaha
au bas
ChatGpt ni app ya kuchati inayotumia akili bandia ya kubuni(AI).Toeni elimu na sisi tusiojua nyuma wala mbele kuihusu tujifunze namna ya kuitumia.