Chatgpt kiboko ase

Ije AI ya sauti sasa. Mabibi na mababu zetu wavivu wa kusoma wafaidi nao.

Unaiuliza kwa kuongea, inakujibu kwa kuongea.
 
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
Hahhaa dah kudadek
 
Unavyokosea kuandika chatgpt unageuza kuwa chatgtp inanifurahisha, unafanana na mtu fulani alikuwa na yeye anakosea spelling kwenye issues fulani, anyway namuombea amani huko alipo.
 
Hivi kumbe nakosea, akijua nakose atanichamba maana sikuhizi wamesema amekua mswahili wa mbagala
Yaani ni inatokea tu, kuna watu huwa wako hivyo mama.

Hao wanamchatisha kwa kiswahili cha mtaani na yeye analearn hivyohivyo anaenda nao, ukienda kwa adabu na yeye anatumia lugha kama yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…