Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,246
Hao drug dealer ndio walio waliomchanganyia vitu asubuh asubuh akaenda kuumbuka mjengoni
Si kazi yake. Kuna vyombo husikaMwigulu tunataka utukamatie wauza madawa ya kulevya na sio kuzurula na kombati zako mipakani
Walimuonjesha akabwia kisha kuingia kujibu maswali bungeniHii sio kauli ya kawaida, ni nzito na ya kuogofya inatia Shaka pia kujua hao wauza unga wenye mamlaka makubwa namna hii ni akina nani? Kwa hiyo wamemshugulikia yeye ili biashara iendelee kushamiri hapa nchini?