MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Hapo umelonga! Si kitwanga naye alikuwa BOT?Napata kuunganisha dots! Wengi wa mawaziri na katibu wakuu wanafanya biashara na serikali na kuuiba juu! Kitwanga ndie atakuwa amemshauri JPM huyo best yake aingie NIDA pale! Amtoe BoT ampe NIDA!
Btw, Kitwanga hata kwa usoni, haonekani kama ni mtu mwenye akili ya maana kuweza kuwa waziri! Facial appearance yake ni ya mtu anayestahili kudhibitiwa, siyo tena awe ndo anadhibiti wengine.