Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,518
- 6,233
Na mwaka huu wametoa gawio kwa serikali bilion za kutosha tuYani mpaka saizi hujui CRDB sio mali ya serkali???Inamilikiwa na shareholders acha ujinga
Na mwaka huu wametoa gawio kwa serikali bilion za kutosha tuYani mpaka saizi hujui CRDB sio mali ya serkali???Inamilikiwa na shareholders acha ujinga
Sizonje alivyo na wivu wa 'kike' atamtumbua tuu kabla ya mei 2018
Kukiri kuwa anamuogopa mtu au kiongozi Ni udhaifu? Vipi wale wasiokiri ila wanaogopa?Kimei alijionesha kiongozi weak sana alipokiri wazi kwamba anamuogopa sana Magufuli.
Sio CRDB tu, sharia za kustaafu ni zile zile, iwe serikalini au private organisation, umri ukifika unastaafu na kama unapendwa zaidi unakula pesa zako kwanza then unafanya kazi kwa mkataba. SImple as that!?CRDB ina umri wa kustaafu CEO? CRDB si benki ya serikali, umri wa kustaafu kwa mujibu wa kanuni gani?
CRDB Bank - Wikipedia
Ilishatokea benki gani mkuu? Maana tunazo benki nyingi sana.Naona kuna upotoshaji hasa wenye personal issues, iko ivi sheria ya BOT inataka nafasi zote za CEO wa mabenki hutangazwa miezi 18 kabla ya kuustaafu kwa MD yoyote wa benki.
Na majina hupelekwa bot na wao hufanya venting. Majina yatakoyo pita ndio hupelekwa kwenye bodi then mkutano mkuu wa wanahisa au management.
Sasa kama hamuelewi mchakato someni tu sio lazima kuchangia
Anayeendekeza hofu badala ya kazi si mjenga nchi.
Anayeleta udini katika kazi si mjenga nchi.
Kimei aliweka mambo ya kanisani kazini na ya kazini kanisani.
Huko si kujenga nchi.
Wanaogopa nini?Kukiri kuwa anamuogopa mtu au kiongozi Ni udhaifu? Vipi wale wasiokiri ila wanaogopa?
Yeye kasema hiyo Ni sababu yake ya kustaafu?Kimei ameshaona kuna anguko kubwa la kiuchumi linakuja hivyo anataka kuondoka katika kazi za benki kabla anguko hilo halijatamalaki.
Na kaanza kutangaza mapema ili aking'atuka watu wasiseme anakimbia, aweze kusema "nikishatangaza kitambo nastaafu".
Kwa hili naona kafanya smart move.
Naona kuna upotoshaji hasa wenye personal issues, iko ivi sheria ya BOT inataka nafasi zote za CEO wa mabenki hutangazwa miezi 18 kabla ya kuustaafu kwa MD yoyote wa benki.
Na majina hupelekwa bot na wao hufanya venting. Majina yatakoyo pita ndio hupelekwa kwenye bodi then mkutano mkuu wa wanahisa au management.
Sasa kama hamuelewi mchakato someni tu sio lazima kuchangia
Hujajibu swaliWanaogopa nini?
Banker anatakiwa kuogopa kanuni, si mtu.
Kwani umesikia crdb ni mali ya serikaliSizonje alivyo na wivu wa 'kike' atamtumbua tuu kabla ya mei 2018
Swali halijakamilika, umeuliza vipi wale wanaoogopa bila kusema lakini hujasema wanaoogopa nini, ndiyo maana nikakuuliza wanaogopa nini?Hujajibu swali
Mwafrika anapokataa asili yake!Waswahili bana?!
Speculative and generalizationSwali halijakamilika, umeuliza vipi wale wanaoogopa bila kusema lakini hujasema wanaoogopa nini, ndiyo maana nikakuuliza wanaogopa nini?
Maana inawezekana wanaogopa kuvunja kanuni za kibenki na sheria. Hao wanafaa.
Lakini wanaomuogopa mtu hao hawafai.
Ndivyo nilivyojibu hapo juu hata baada ya swali kutokamilika.
Kama hiyo ni sababu yake ya kustaafu ungetegemea aseme hivyo?Yeye kasema hiyo Ni sababu yake ya kustaafu?
Speculative wapi na generalization wapi?Speculative and generalization