pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,832
- 13,898
CRDB sio mali ya serikali jamani na kama wana share ni kdg mno mno ndio maana haina sauti pale, serikali ingekuwa na sauti pale ungekuta kimei alishaondolewa siku nyingiiiiiiiiiiiiiiiiii. Si mnajua tena.