TANZIA Charles Keenja na mkewe wafariki Dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Seifee

Duh inakuwaje mtu na mkewe kufariki siku moja kwa situation ambayo sio ajali?
Sii ajabu kama ninmfuatiliaji wa mambo. Hasa kama ni watu waliopendana na kuishi pamoja muda mrefu

 
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar...
Na Mke wake Kafariki leo na Walikuwa Wamelazwa Hospital Moja
 
Na kuna kirusi kipya tena
Wale mnaochanja sijui hii mtachanja lini
Screenshot_20210805-221953.jpg


Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom