mcshonde
Member
- Jul 15, 2022
- 66
- 152
Kuna chapisho linaitwa "satan the servant of God", wengi walitaka kujua mwandishi kaongelea nini humo ndani, ni mengi...ila point ni kwamba Shetani amekuwa akitumika na Mungu mara kwa mara ili kuwachambua walio wake na wasio wake.
Kwamba mwamba amekuwa akitumwa hapa na pale na anawekewa mipaka. Wengi wanauliza kwanini Mungu asimkatilie mbali tu mwamba na maisha yawe smooth?
Jibu linaendana na maisha yetu ya hapa duniani...kwamba hakuna anayependa kuwa na kundi kubwa la watu wasiomkubali..wasiompenda WANAFIKI.
Hata Nabii Yesu mwenyewe alitoa mfano wa mfalme na karamu yake alialika watu wakapotelea mitiniaakaamua aalike maskini...wa mtaani..wakapiga msosi na wakashukuru kinoma.
Sasa kulingana na teolojia, Mungu anamtumia shetani kuwachuja watu wale watakaoingia kula vinono na michuzi chuzi (joke) na wale wataokaa upande wa mbuzi na giza nene.
Kwamba mwamba amekuwa akitumwa hapa na pale na anawekewa mipaka. Wengi wanauliza kwanini Mungu asimkatilie mbali tu mwamba na maisha yawe smooth?
Jibu linaendana na maisha yetu ya hapa duniani...kwamba hakuna anayependa kuwa na kundi kubwa la watu wasiomkubali..wasiompenda WANAFIKI.
Hata Nabii Yesu mwenyewe alitoa mfano wa mfalme na karamu yake alialika watu wakapotelea mitiniaakaamua aalike maskini...wa mtaani..wakapiga msosi na wakashukuru kinoma.
Sasa kulingana na teolojia, Mungu anamtumia shetani kuwachuja watu wale watakaoingia kula vinono na michuzi chuzi (joke) na wale wataokaa upande wa mbuzi na giza nene.