Shuleni tulibishana sana hii kitu maana kuna jamaa alidai inaitwa ''Chepeti'' unatamka kimadoido..
Ila Chapatti ni jina la Kihindi.
Misri wao huita Mikate so in English ni Bread tu unaweza ongezea madoido kama slices or whatever but kiuhalisia ni Mkate sio chapati. hivyo Chapatti linabakia kuwa ni jina la kihindi likimaanisha Mkate Maana Mikate tokea enzi na enzi Misri ikahamia kwa Waisrael wakaendeleza ilikuwa ngano inakandwa na kubanikwa kwenye majiko ya kuoka na jina lilikuwa ni mkate kwani umbo maarufu la duara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.