Chanzo kikubwa cha baadhi ya matatizo tuliyonayo leo kinaweza kuwa ni maneno tunayopenda kuongea?

PRODA LTD

JF-Expert Member
Oct 20, 2016
1,005
1,333
.

Chanzo kikubwa cha baadhi ya matatizo tuliyonayo leo kinaweza kuwa ni maneno tunayopenda kuongea ongea?

Unaweza kuwa unapambana kweli kwenye ndoa yako ila mambo hayaendi. Au unapambana kweli kuwatoa baadhi ya watu moyoni mwako ila umeshindwa. Au vitu kwenye maisha yako haviendi tu vile unataka viende.

Sasa, hivi unakumbuka maneno ulokuwa unakiri kwa kinywa chako kwenye mahusiano yote ulowahi kuwa nayo? Pale mapenzi yanapokuwa moto moto huwa ni wepesi mno kuacha vinywa vyetu vikiri maneno, tena hupenda kuongea kwa kingereza kabisa "I can't live without you" "I will love you forever" "I will never let you go" "You are my everything".
Na pale inapotokea mmeachana nini kinatokea? Bado unabaki unadaiwa ukiri wa maneno ya kinywa chako. Matokeo yake....hata ulimwengu wa roho unachanganyikiwa sasa....umewahi kuwa na wapenzi watano huko nyuma na wote ulikuwa ukiwaambia maneno hayo hayo... those words are following you my dear..unadaiwa. Those are soul ties bound by your own words.

Unauliza imeshatokea, nifanyeje?
Hujachelewa. Mungu ni wa rehema mno. Tubu....tubu... Na tena tubu => Nenda mbele za Mungu, jisafishe wewe mwenyewe na maneno yote unayodaiwa popote pale => Uwe mwangalifu na maneno yote yanayotoka kinywani mwako. Neno la Mungu linasema utatoa hesabu kwa kila neno likokalo kwenye kinywa chako. (Mathayo 12:36)

Na mwisho kabisa na muhimu mnoo.... Kuwa na mahusino ynayomtukuza Mungu. Kwenye njia zinazompendeza yeye..

Baraka za Bwana ziambatane na wewe
 
IMG-20170221-WA0007.jpg

Woyooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Nakaushaje kwa furaha niliyonayo Leo???
Mpaka majirani zangu hawanielewi unafikiri mambo ya kitoto??
Itikia basi
Weraeeeeerrrrraaaaaa
Haya leo mjanja wewe... Umeniweza... Aibu naona mie... Jirani nae mbea sana.. Shangwe za watu anazikomalia...

Woooyeeeee....
 
Haya leo mjanja wewe... Umeniweza... Aibu naona mie... Jirani nae mbea sana.. Shangwe za watu anazikomalia...

Woooyeeeee....

Tehteh jirani mpana sio kidogo
Jirani anataka kujua what happened to her jiraniiiiiiii lol siri yangu hii nimwambie thubutuuu yake
 
Haya leo mjanja wewe... Umeniweza... Aibu naona mie... Jirani nae mbea sana.. Shangwe za watu anazikomalia...

Woooyeeeee....

Tehteh jirani mpana sio kidogo
Jirani anataka kujua what happened to her jiraniiiiiiii lol siri yangu hii nimwambie thubutuuu yake
 
Tehteh jirani mpana sio kidogo
Jirani anataka kujua what happened to her jiraniiiiiiii lol siri yangu hii nimwambie thubutuuu yake
Jirani anagonga hodi unamfungulia na bonge la smile... Ananyanyua kichwa vizuri aangalie kuna nani ndani siyo kwa shangwe hizo...


Woooyeeeeeee!!
 
Sometimez we said tings we don' mean to...

Besides who wu'd believe me 'f I say," I cant liv without u".
 
Back
Top Bottom