Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,471
- 34,004
Acha kuyafananisha makande na vitu vya ajabu mkuuKukinaina kubaya sana inafika stage unamuona mwenzio kama makande hapo ndyo tatizo linapoanzia.
Acha kuyafananisha makande na vitu vya ajabu mkuuKukinaina kubaya sana inafika stage unamuona mwenzio kama makande hapo ndyo tatizo linapoanzia.
Makande ni matamu sana hasa yapikwe na anayejua kuyapikaNdio sababu unapenda makande nasikia wapare wanapenda sana makande
Ukila na parachichi n matam sana, wapare nahis ndio wanaongoza kwa chakula hichoMakande ni matamu sana hasa yapikwe na anayejua kuyapika
Makande ni chakula cha watanzania wote kinaliwa kila mahali
[emoji23][emoji23][emoji23] eeh unachanganya na parachichiUkila na parachichi n matam sana, wapare nahis ndio wanaongoza kwa chakula hicho
Nimekumbuka enzi za shule [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] eeh unachanganya na parachichi
Ndio,najua mwanaume anaweza kuigiza. Mko vizurii sana hapoUsigune...una wazo tofauti
Wanakwenda kutushtaki badala ya kutumia kama somo la kujiandaa, na hakika ukipitia somo hili hata huko mbele utaweza kujua namna ya kujipunguzia maumivu kimtindoInasaidia kujenga,ushauri huu mzuri mtu akiwa na stress ila akiwa inlove huu uzi mtu anaupita tu,ndio kwanza anaenda kumsimulia mpenzi wake,"eti baby jf wanasema mapenzi sio inshu,nawashangaa kweli"