Chanzo cha mahusiano kupoteza mvuto

Chanzo cha mahusiano kupoteza mvuto

Nilivyoona ana anza na vitu vya kwenye hiyo para ya tatu nami nikaanza kuotesha mbawa tyr kwa kuruka.... na sikutaka kujua sbb zake mpaka baadae alipokuja kuziainisha
Hutakiwi kujisumbua kwa maswali ambayo majibu anayo mtu mwingine, ama sivyo utapata shinikizo la moyo
 
Hahahha sasa wengi tunaamini au pengine ndivyo ilivyo kuwa mapenzi ndio furaha ya kweli,yaani ukiwa na mpenzi unakuwa na furaha ile yenyewe yaani
Ukiwa moyo mashine utakufa kwa stress kuna mambo mengine hupaswi kuyajali sana
 
Lakini kukinai pia kunasababishwa na kuchukuliana kawaida...yaani unaeza ukawa serious na mwenzio,na kibaya zaid wanaume huwa tunajali hadi tunasahau hata kujijali wenyewe,yaani kila kitu wazo la kwanza linaenda kwa mpenzi wako,halafu siku anakuja anafanya kitu ambacho kinaashiria kutokujal basi moyo unakufa kabisaaaa,ndio hapo saa mbovu inasema ukweli
Kukinaina kubaya sana inafika stage unamuona mwenzio kama makande hapo ndyo tatizo linapoanzia.
 
Watu wanajisahau wanajivalue kupitiliza
Mbaya zaid inatokea ukichambandua tu unaanza na kumuona vile yan unakuwa unajua kabsa moyoni kuwa kweli huyu simpendi ila basi tu.
Sijui hii hali kwann huwa inatokea after.
 
Back
Top Bottom