Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Kila nikiangalia hii channel naona inamapungufu lakini naona wasimamizi wanafanya kazi kimazoea ikiwemo swala la kurudia mavipindi yani kipindi kimoja kinaweza kikaoneshwa hadi mara tatu kwa siku
==============
Maoni ya Mdau Mwingine
==============
Maoni ya Mdau Mwingine
Hii channel ni ipuuzi tu na nahisi mpaka kufikia sasa imeshatelekezwa, nguvu zote zile kumbe ni zero tu!
Yaani mwaka mzima vipindi ni vile vile, mwaka mzima umeisha vipindi ndo vilevile vilivyorekodiwa,
Kila ukiangalia ni makala zile zile tangu mwaka jana, yaani kipindi kimoja kwa wiki kinarushwa zaidi ya mara10
Sasa kuna haja gani ya kukaa tunaangalia vipindi hivyo hivyo tu kila siku,
Yaani kila nikiangalia hii channel ma vipindi ni yaleyale tu, tangu mwaka jana ni yale yale tu linatoka hili linaingia hili
Upuuzi tu hi channel ufujaji wa kodi hamna cha maana,
Inaonekana mliweka dvd tu tangu chanel ianzishwe ni dvd hiyo hiyo mpaka leo!
Ujinga kabisa