Hiyo Channel Ten ovyo kabisa, bure kabisa
Magufuli inabidi afanye ziara ya kushtukiza pale
japo watu wanaichukua, husasani wale wanalikuwa wanajiita wana mabadiliko, ukawa . kituo cha television cha star tv ni kituo bora cha mafunzo ya usomaji wa taarifa ya habari, pamoja na azam tv kuchukua wale bora lakin sasa kumeibuka kwa watangazi wengine bora,wanasoma taarifa wametulia,taaratibu, kwa kweli wananifurahisha....wasomaji wa itv, daah wanasoma kama wanakimbizwa kama yule jackline nselemo....
star tv, kama kina John Anatoly na wenzake, wametulia , hawana papara, wanajiamini, unasoma neno kwa neno...
wajifunze kutoka star tv ila timu mabadiliko wanatapinga tu maana wao wapo kupinga tu na wamejaa hapa JF
uchaguzi umeisha kwasasa ni Tanzania kwanza.
japo watu wanaichukua, husasani wale wanalikuwa wanajiita wana mabadiliko, ukawa . kituo cha television cha star tv ni kituo bora cha mafunzo ya usomaji wa taarifa ya habari, pamoja na azam tv kuchukua wale bora lakin sasa kumeibuka kwa watangazi wengine bora,wanasoma taarifa wametulia,taaratibu, kwa kweli wananifurahisha....wasomaji wa itv, daah wanasoma kama wanakimbizwa kama yule jackline nselemo....
star tv, kama kina John Anatoly na wenzake, wametulia , hawana papara, wanajiamini, unasoma neno kwa neno...
wajifunze kutoka star tv ila timu mabadiliko wanatapinga tu maana wao wapo kupinga tu na wamejaa hapa JF
uchaguzi umeisha kwasasa ni Tanzania kwanza.
jamani "Wapo Kwenye Mchakato".
japo watu wanaichukua, husasani wale wanalikuwa wanajiita wana mabadiliko, ukawa . kituo cha television cha star tv ni kituo bora cha mafunzo ya usomaji wa taarifa ya habari, pamoja na azam tv kuchukua wale bora lakin sasa kumeibuka kwa watangazi wengine bora,wanasoma taarifa wametulia,taaratibu, kwa kweli wananifurahisha....wasomaji wa itv, daah wanasoma kama wanakimbizwa kama yule jackline nselemo....
star tv, kama kina John Anatoly na wenzake, wametulia , hawana papara, wanajiamini, unasoma neno kwa neno...
wajifunze kutoka star tv ila timu mabadiliko wanatapinga tu maana wao wapo kupinga tu na wamejaa hapa JF
uchaguzi umeisha kwasasa ni Tanzania kwanza.
Kilichoa boa kabisaChanel ten...Kilicho boooora kabisa
Magufuli inabidi afanye ziara ya kushtukiza pale
Nashindwa kuelewa huu uongozi wa Channel ten hawana elimu ya kuopareti mitambo yao? Nauliza hivi kwa sababu kila siku tatizo hilo hilo linajirudia, kama sauti kukwama, au picha kukwama au vyote kwa pamoja ina maana wameshindwa kurekebisha kabisa miaka yote?
Hata mapresenter wao wanasoma taarifa utadhani wanatangaza mieleka, wajifunze kutoka azam na ITV aaaaghhhh!!!!!
Mi picha mibayaaa, rangi ka hina
Misaut inaingilianaga, hainaga vipindi vya maana, saut haivutii kuickiliza.. Yaan ipo tu