Channel ten ni uchakavu au bado wanajifunza?

Channel ten ni uchakavu au bado wanajifunza?

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,782
Nashindwa kuelewa huu uongozi wa Channel ten hawana elimu ya kuopareti mitambo yao? Nauliza hivi kwa sababu kila siku tatizo hilo hilo linajirudia, kama sauti kukwama, au picha kukwama au vyote kwa pamoja ina maana wameshindwa kurekebisha kabisa miaka yote?

Hata mapresenter wao wanasoma taarifa utadhani wanatangaza mieleka, wajifunze kutoka azam na ITV aaaaghhhh!!!!!
 
Yaan ndio channel pekee isiyobadilika, video quality iko chini sana utadhan kipind kimerekodiwa miaka 5 iliyopita
 
Leo sauti utata mtupu! Wameniudhi sana nimeshindwa kusikia prezdaa akitoa neno LA mungu kwa Dr.Kidjo
 
Yaani channel Ten ni shida, hivi kituo gani tena kina taarifa ya habari ya saa moja usiku nihamie huko?...
 
Matukia yanaingiliana, picha ya tukio lingine habari nyingine.....ni kama control room ina watu wasiojua wanachofanya....wajirekebishe....
 
Nilimuuliza mtayarishaji WA kipindi cha Afrodance kwanini haonyeshi video za bendi za Watanzania,eg msondo,twanga nk
akajibu mashine Yao inasoma CD za kikongo tuu hata kama wamerikodi hapa mfano FM Academia
 
duh asante mkuu bado wako kianalogia kwl wanaboa sana mipicha kama ya miaka ya 90 bwana...hawana upakao kabisa..
 
japo watu wanaichukua, husasani wale wanalikuwa wanajiita wana mabadiliko, ukawa . kituo cha television cha star tv ni kituo bora cha mafunzo ya usomaji wa taarifa ya habari, pamoja na azam tv kuchukua wale bora lakin sasa kumeibuka kwa watangazi wengine bora,wanasoma taarifa wametulia,taaratibu, kwa kweli wananifurahisha....wasomaji wa itv, daah wanasoma kama wanakimbizwa kama yule jackline nselemo....

star tv, kama kina John Anatoly na wenzake, wametulia , hawana papara, wanajiamini, unasoma neno kwa neno...

wajifunze kutoka star tv ila timu mabadiliko wanatapinga tu maana wao wapo kupinga tu na wamejaa hapa JF

uchaguzi umeisha kwasasa ni Tanzania kwanza.
 
Back
Top Bottom