WanaJF, mimi nasikitishwa sana na tabia inayojenga mizizi hii channel ten ya kutopangilia vipindi vyao na kusababisha kutuonyesha mechi recorded wakati wao wana license ya kutuonyesha watz live. Najua kuwa kuna DSTV lakini kwa wengi wetu channel ten tuliona mkombozi wetu katika show hii ya TV.