Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Katika pitapita yangu kwenye TV nimegota Channel TEN baada ya kumuona baba wa Taifa akikataa ombi la watoto wake kurithishwa nafasi za uongozi kwa kutumia nafasi yake akiwa rais wa nchi hii. Nimegundua kumbe ni igizo linalomuhusu baba wa Taifa, nimegota hapa na kuacha shughuri zote kutizama.