Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

Thadei Mushi

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2015
Posts
218
Reaction score
66
Kati ya vijana waliokwenda mara nyingi kwenye media kumponda lowasa bila ushahidi wowote... Swali je lowasa akimtaja mhusika polepole utajisikiaje?

Huna udhibitisho ni bora ukae kimya maana akiwa raisi utatafuta pakitokea!
 
Kati ya vijana waliokwenda mara nyingi kwenye media kumponda lowasa bila ushahidi wowote... Swali je lowasa akimtaja mhusika polepole utajisikiaje? Huna udhibitisho ni bora ukae kimya maana akiwa raisi utatafuta pakitokea

Yuko kazini
 
Yaani kila mtu macho kwa Lowassa tu..kila kukicha ni El El hata huyo Jpm wao nimeshaanza kumsahau
 
Kati ya vijana waliokwenda mara nyingi kwenye media kumponda lowasa bila ushahidi wowote... Swali je lowasa akimtaja mhusika polepole utajisikiaje? Huna udhibitisho ni bora ukae kimya maana akiwa raisi utatafuta pakitokea
huyu porepore ni mwanga na dr mihogo iimempumbaza kabisa
 
huyu porepore ni mwanga na dr mihogo iimempumbaza kabisa

Kila mtu na michongo yake.Sasa kama kwenye mchakato wa katiba watu walipiga pesa kisha zikaishia kwa vimwana unategemea sasa hivi watapiga pesa wapi?Wale waliopagawa na upepo wa mabadiliko ndio wanachanganyikiwa na kumwaga pesa ili wanusurike lakini upande wa mabadiliko mambo yanajiseti yenyewe.Kwa hiyo watoto wa mjini kama Kina HP aka Printer ndio magepu wanayoyatumia kupiga hela maana miaka mitano ni mingi.
 
Nampa pole sana manake baada ya October ataitwa FASTER FASTER......HURUMA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom