Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

CCM ongezeni dau,Dr SLAA awe mtangazaji wa STARTV naahamishiwe Mwanza studio za TV kuliko kulipa pesa kila leo.Na Josephine awe tayari kwa kuanza uwekezaji mkubwa baada ya uchanguzi.
 
Nyie TV mnakuwa bias kwa nini hamuwaaliki up and mwingine? Kila siku Slaa na Pole pole tutakuwa hatuangalii TV zenu zinaubazi. People's. .......💪💪
 
Polepole ameanza kufilisika kimawazo polepole. Media waandae vitanda kwa ajili ya polepole na slaa
 
ndio asili ya mashoga kaka maana yule slow slow ni shoga mbona na watu wengi tu wanajua
 
POLEPOLE
Anapotwmeza muda tangu ameaanza no change halafu ameshindwa slaa ndo ataweza yeye mweee
 
kipindi kile anatetea serikali 3 na ukawa mnamshangilia alikuwa anasumbuliwa na nini? naona mnasahau haraka kama kondoo
Sera ya Ccm serikali mbili,ukawa serikali tatu,polepole kuunga mkono Ccm ni unafiki of the highest order
 
CCM ongezeni dau,Dr SLAA awe mtangazaji wa STARTV naahamishiwe Mwanza studio za TV kuliko kulipa pesa kila leo.Na Josephine awe tayari kwa kuanza uwekezaji mkubwa baada ya uchanguzi.

DK slaa awe studio ya mwanza kama muajiriwa wa star TV NA bwana polepole awe studio wa dar es salaam kama muajiriwa,lile zee la RTD tupa Kyle,voluntia wa Ccm wapate ajira
 
Bora angejikita katika masuala ya katiba.

Aya mambo ya kujifanya mjuaji wa kila kitu kuhusu siasa yatamshinda.
 
Duh aiseee nimecheka sana. Huyu jamaa ana profession gani? Kazi yake nje ya huu uchambuzi ni nini?
 
Duh aiseee nimecheka sana. Huyu jamaa ana profession gani? Kazi yake nje ya huu uchambuzi ni nini?



Profession yake ni UASI,hii ndo profession yake kubwa.Alimwasi MUNGU baadaye akaasi NDOA yake kwa ROSE na kuterekeza watoto na ameasi CHAMA.Mwalimu alisema dhambi ya uasi ni sawa kula nyama ya binadamu,hawezi kuacha UASI hata huyo Mushumbuzi akae mguu pande,baada ya kuasi CHAMA nini kifuatacho?
 
Duh aiseee nimecheka sana. Huyu jamaa ana profession gani? Kazi yake nje ya huu uchambuzi ni nini?

Utotoni alikuwa mzamiaji wa kwenye harusi,hivyo alikuwa anapewa shughuli ya Kuchambua mpunga(MCHELE) kuondoa chuya
 
Mkuu chinembe umemaliza kazi kabisa.Nawe mizambwa njoo ucheke huku usizidi kuumia.

Pastor AchachandaYaani umenianzia siku kwa kicheko.

Utanivunja mbavu, angalia jinsi nilivyo kutokana na maisha yetu Watanzania. Daaaaah inatisha.

Skeleton.jpg


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Huwa nafarijika sana ninapoona wafuasi wa ukawa wanalalamika... Hii inadhihirisha kwamba dawa wanayopata inawaingia bila wasiwasi.... Acha POLE POLE na Dr SLAA wawapige mande tu maana hamna namna sasa.
 
Inashangaza tv kubwa kama chanel ten eti kila cku wanaleta mtu yuleyule. Tumemchoka leteni na makada wengne mnaboa sana.

Usihofu mkuu wamekisikia kilio chako next time watamleta Dr Slaa nahisi roho yako itakuwa kwatu.
 
Ndugu zangu Polepole ni kama mchicha ndani la pori lenye mibuyu. EL hawezi kudili na mtu kama huyo, acheni atumike tu hana madhala yeyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom