Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

Jamani hv polepole ni MTU au mwendo, mm sielewi.
 
Inakuwaje Channel 10 inamwalika kwenye kipindi kada wa CCM peke yake? Kwa nini hawa balance kwa kualika wawakilishi wa pande zote? Tukisema Channel 10 inafanya kampeni tutakuwa tunakosea?
 
Yaani kila mtu macho kwa Lowassa tu..kila kukicha ni El El hata huyo Jpm wao nimeshaanza kumsahau

Ulitaka amuongelee nani sasa ? Katika kipindi hiki? Kuna maswali mengi sana kuhusu lowassa ambayo hayana majibu
 
Chadema wanamuogopa sana polepole ... Hahaha
 
Yaani kila mtu macho kwa Lowassa tu..kila kukicha ni El El hata huyo Jpm wao nimeshaanza kumsahau

Kweli chadema ni wasahaulifu sana! Kwani umaarufu wenu si ulipatikana kwa kumtajataja sana kwenye ufisadi! List of shame, leo mnashangaa watu kumjadili!! Alhamdulilah!
 
Kati ya vijana waliokwenda mara nyingi kwenye media kumponda lowasa bila ushahidi wowote... Swali je lowasa akimtaja mhusika polepole utajisikiaje?

Huna udhibitisho ni bora ukae kimya maana akiwa raisi utatafuta pakitokea!
kwani yule jamaa ni kijana?
 
Kweli chadema ni wasahaulifu sana! Kwani umaarufu wenu si ulipatikana kwa kumtajataja sana kwenye ufisadi! List of shame, leo mnashangaa watu kumjadili!! Alhamdulilah!

MUNGU ni mwema na husahau dhambi tukitubu mbona nyie maccm mmempokea slaa aliewaita mashaitwan wa kijani na hatushangai?
 
Inakuwaje Channel 10 inamwalika kwenye kipindi kada wa CCM peke yake? Kwa nini hawa balance kwa kualika wawakilishi wa pande zote? Tukisema Channel 10 inafanya kampeni tutakuwa tunakosea?

Channel ten na Polepole na Tbc1 na Dr.Banal teh teh teh
 
Ndomana pole pole sura yake kama kalamba ndimu
 
hao chanel ten hawana lolote, jana walijifanya wanarudia ufunguzi wa kampeni za ukawa lakini hotuba za viongozi wa ukawa walikuwa wanazikatakata, zile sehemu muhimu, mfano pale sumaye alipohoji kwamba twiga kupandishwa ndege na wezi wa epa kusamehewa je lowasa alikuwpo? sehemu kama hizo chanel ten hawakuzionyesha waliziruka makusudi wakawa wanaonyesha sehamu nyingine zisizokuwa na madhara kwa ccm.
 
Mtu akiwa tofauti na wanaoutaka wao watamtukana. Yote hii ni kwa kuwa wanalipwa kwa hayo matusi. Nimefanya utafiti nimegundua kuna Id 37 za watu permanent wanaokesha mtandaoni kwa ajili ya kutukana any one who is against UKAWA.

Watu hao 37 wanamiliki id zaidi ya moja. Utagundua hilo kutokana na mtiririko wa maudhui na aina ya ujengaji hoja na uandishi.

Siasa ni sayansi, jibu hoja kwa hoja na siyo hoja kwa matusi. Ni bora ukawa kimya kuliko kutoa matusi.
 
Inashangaza tv kubwa kama chanel ten eti kila cku wanaleta mtu yuleyule. Tumemchoka leteni na makada wengne mnaboa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom