Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Wamekupalanga🖕
Wamekupalanga🖕
🖕Wamekupalanga
Faru nae kapita?🖕
🖕Faru nae kapita?
Tandabui nae je?🖕
🖕Tandabui nae je?
Ali choki na farasi nao walipita?🖕
🖕Ali choki na farasi nao walipita?
Faru joni nae akatia signature🖕
🖕Faru joni nae akatia signature
Afande sele nae kapita🖕
🖕Afande sele nae kapita
Wataliban nao wamepita🖕
Mbona unaongea Hadi mishipa ya shingo inakusimama.TUNAJUA UMELIPWA KWA KAZI HIYO NA WENYE COVID.Inasikitisha sana kuona watu wanavyobisha kwa furaha na kicheko bila kuelewa lolote kuhusu Covid-19.
Tatizo ni kwamba Covid-19 wana mutate kupitia watu ambao hawajachanjwa, kiasi kwamba inafikia wakati msiochanjwa mnawapa uwanja wa Covid-19 ku-mutate hadi wanafikia kuwaambukiza tena wale waliochanjwa kwa kuwa chanjo yao ilikuwa ni kwa Covid-19 ambaye alikuwa haja-mutate.
Kwa hiyo dawa ni watu wote kuchanja ili kutowapa Covid-19 hosts watakaowatumia ku-mutate. Ndio maana mnasikia juu ya South Africa variant, UK variant etc.
Tulipoanza na Covid-19, hatukuwa na Delta variant ya Covid-19. Delta ni Covid-19 ambaye ame-mutate kupitia wajinga ambao hawataki kuchanja. Kama dunia nzima tunhechanja kwa wakati mmoja, tusingekuwa na Covid-19 Delta. Na kadiri watu wanavochelewa ndivyo tutazidi kuwa na mutations zaidi za Covid-19, na kufikia ambapo chanjo zitakuwa hazisaidii tena.
Siku wakifa mama, baba, watoto, dada, kaka zenu, ndio mtajua uchungu wa Covid-19. Kwa sasa chekeni sana.
Kwa nini mnakuwa wabishi bila kusumbua akili zetu kuelewa mambo kwanza?
Utakufa mwenyewe kenge ww.Nahisi kuna siku humu tutaona tanzia juu yako wewe kama mwana JF - mwenzetu kafa kwa matatizo ya kupumua. Kwa mtazamo wako huu ni suala la muda tu.
Nimekupenda bure. Kweli wewe ni AKILI KIBWAZ.Utakufa mwenyewe kenge ww.
Usitishe watu kwa kifo ,as if Hakuna aisyejua kufa.Isitoshe hukumpangia yeye azaliwe, halikadharika humpangii yy afe lini.
🖕Wataliban nao wamepita