#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

Inasikitisha sana kuona watu wanavyobisha kwa furaha na kicheko bila kuelewa lolote kuhusu Covid-19.

Tatizo ni kwamba Covid-19 wana mutate kupitia watu ambao hawajachanjwa, kiasi kwamba inafikia wakati msiochanjwa mnawapa uwanja wa Covid-19 ku-mutate hadi wanafikia kuwaambukiza tena wale waliochanjwa kwa kuwa chanjo yao ilikuwa ni kwa Covid-19 ambaye alikuwa haja-mutate.

Kwa hiyo dawa ni watu wote kuchanja ili kutowapa Covid-19 hosts watakaowatumia ku-mutate. Ndio maana mnasikia juu ya South Africa variant, UK variant etc.

Tulipoanza na Covid-19, hatukuwa na Delta variant ya Covid-19. Delta ni Covid-19 ambaye ame-mutate kupitia wajinga ambao hawataki kuchanja. Kama dunia nzima tunhechanja kwa wakati mmoja, tusingekuwa na Covid-19 Delta. Na kadiri watu wanavochelewa ndivyo tutazidi kuwa na mutations zaidi za Covid-19, na kufikia ambapo chanjo zitakuwa hazisaidii tena.

Siku wakifa mama, baba, watoto, dada, kaka zenu, ndio mtajua uchungu wa Covid-19. Kwa sasa chekeni sana.

Kwa nini mnakuwa wabishi bila kusumbua akili zetu kuelewa mambo kwanza?
Mbona unaongea Hadi mishipa ya shingo inakusimama.TUNAJUA UMELIPWA KWA KAZI HIYO NA WENYE COVID.

Sasa km umechanjwa, si umejikinga na covid tayari.

Asiyechanjwa si akiambukizwa atakufa?na wewe KWA kuwa una chanjo kirusi hakitakudhuru Sana.

Shida iko wapi sasa?ww unayeogopa kuambukizwa ndo ujifungie huko ndani mwako, na ambao hawajachanjwa wao waendelee kuambukizana huko mtaani na kupukutika km unavyopotosha hapa.
 
Nahisi kuna siku humu tutaona tanzia juu yako wewe kama mwana JF - mwenzetu kafa kwa matatizo ya kupumua. Kwa mtazamo wako huu ni suala la muda tu.
Utakufa mwenyewe kenge ww.

Usitishe watu kwa kifo ,as if Hakuna aisyejua kufa.Isitoshe hukumpangia yeye azaliwe, halikadharika humpangii yy afe lini.
 
Back
Top Bottom