Mwalimu alimuuliza mwanafunzi wake: Mwalimu 'gari kwa kiingereza inaitwaje?. Mwanafunzi akajibu 'CAR'. Mwanafunzi wa pili akaulizwa, Mwalimu 'baskeli kwa kiingereza inaitwaje?. Mwanafunzi akajibu 'CHAZA'.
sijaelewa mkuu,,, labda utueleweshe kwa manufaa ya umma
kwa sisi watu wa pwani car = kaa ni aina ya kitoweo the same with chaza, kwa hyo hapo ni lugha gongana