Chanikiwiti

Mmmh zimetoka zenyewe yaani hiyo inaitwa amsha amsha
 
Chinekeeeee....!!

Hapo unakuta mzembe anatumia kondom kuitafuna hiyo nyama...

Hapo mi niko radhi nife kishujaa...
Aseeeh wanawake wadumu daima tuzidi kuwakumbuka kwenye sala zetu kwa baba aliye juu. Tupewee nini sisi kama mizigo kama hii imeshuka kwa ajili yetu
 
Halafu unaweza kuta jamma yake anachukulua poa tu, kiasi kwanba demu ndio anakuwa analazimisha gegedo, dunia sio fair kabisa.
 
Huoni bi harusi kashikilia sehemu pendwa... Inaelekea anajua shughuli anayoenda kuipata
cha moto anaenda kukiona mwana kajipinda kufanya harusi gharama katumia kibao acha akajipongeza. Anakwambia anaenda kula tunda la mti wa kati
 
Ila wallahi wanawake ni mapambo/Maua tuliyopewa na Mungu, Hima wanaume tutumie tupatapo nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…