Changudoa kaniibia, nashindwa jinsi ya kumshitaki.

Changudoa kaniibia, nashindwa jinsi ya kumshitaki.

anza kwenye vyombo vya habari..lol
kaseme tatizo lako watakuaidia
 
Yaani wewe inaonyesha hii ndio tabia yako baada ya kukomeshwa ndo unajifanya ulikuwa unajaribu.
Huna lolote............. heko kwa CD SIKU NYINGINE NDO UKOME!!!!!!!!!!!!!!

Tena nawaomba MACD wazidishe kuwaibia ili mpungue kwenda huko......... hamna hata haya,,,, nyie ndo mnawaendekeza waweze kuingia brbrn c wanajua wateja wapo.
 
inataka moyo jamani,kuokota tu mtu,kisa mchezo.na dudu zenu zinasimama kabisa na wasiwasi mnakuwa hamna.kweli kuna raha hapo,au ndio mradi umwage tu?mimi naona kama uchafu maybe ni ushamba wangu
 
inataka moyo jamani,kuokota tu mtu,kisa mchezo.na dudu zenu zinasimama kabisa na wasiwasi mnakuwa hamna.kweli kuna raha hapo,au ndio mradi umwage tu?mimi naona kama uchafu maybe ni ushamba wangu
mkuu wataalam wanadai hawa huwa hawana stress km kuwa na gf.
hapa chapa ilale hakuna cha wivu wala nn, ila gf mara kachukuliwa na kibosile!!
full frastrution( ila bora kuwa na gf ili haya yasitupate)
 
God have mercy over us sometimes we are doing things which you didnt expect us to do/😛ray2:
 
Mhuu, Mwenzenu ngoja niwahi ibada ya jioni kwani kesho ndio siku takatifu.
 
Usikubali style ya mbuzi anakataa kuondoka akiinama anakusachi kiulaini
 
Mie, Jana nimeibiwa 32000 can hamu naoooo.... Pole wangu tupo pamoja, ila wa concord kidogo waaminifu

Hahaaa! mkuu nilikuulizaga kama unatimbaga mitaa ya villa park na vitunguu/makoroboi ukabisha! leo umeingia mkenge mwenyewe, chezea huduma ya pombe manyoya kwa buku jero weye?

Na ukibisha tena Kaka ipo siku nitakubamba live huwa nazungukaga na difender pande hizo mida ya night
 
Hahaaa! mkuu nilikuulizaga kama unatimbaga mitaa ya villa park na vitunguu/makoroboi ukabisha! leo umeingia mkenge mwenyewe, chezea huduma ya pombe manyoya kwa buku jero weye?

Na ukibisha tena Kaka ipo siku nitakubamba live huwa nazungukaga na difender pande hizo mida ya night

nimepata mke jamaa yangu, habari hizi siludi tena humu
 
Always cheap is expensive aiseee...ona sifa tu hapa kuandika hayo na siku yakikukuta makubwa zaidi ya hayo naomba urudi hapa jamvin tena....,
 
madanguro temeke? yule lazima ni muathirika na endelea kutembelea maeneo hayo maana ukishaingia huku mtaani kwetu utatuulia ma dada zetu
 
pole sana,kila kitu kina faida na hasara.Siku nyingine kuwa makini lasivyo watakuiba hadi wewe.
 
Karibu uzaramoni mke unapewa bureeeeeeeeeeeeeee! Labda usitake mwenyewe tuuu.
Nielekeze vizuri ndugu yangu maana niliwahi kwenda mahali nikaambiwa nitoe
600,000. Nichonge kabati la kisasa, kitanda na godoro lake.
 
Back
Top Bottom