Changudoa kaniibia, nashindwa jinsi ya kumshitaki.

Mzee wa kurekebisha

Senior Member
Sep 29, 2012
178
169
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana KIMBOKa ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni.

NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?
 
Je nawe ni changudoa au? Mwanangu tumia akili yako. Umeshindwa kufikiri hata juu ya usalama wako? Kama huna pesa ya kuhonga hao changu unawapa nini? Tazama wamekuibia hiyo pesa unayosema huna/Hapa ni suala la kutumia akili vizuri mwanangu. Uchumi unao ila unaukalia tu.
 
Je nawe ni changudoa au? Mwanangu tumia akili yako. Umeshindwa kufikiri hata juu ya usalama wako? Kama huna pesa ya kuhonga hao changu unawapa nini? Tazama wamekuibia hiyo pesa unayosema huna/Hapa ni suala la kutumia akili vizuri mwanangu. Uchumi unao ila unaukalia tu.
Mimi sio changudoa nafuata huduma kwa sababu ni nafuu kuliko mtaani.
Huku mtaani utatakiwa kulipia gesti 5000 - 15,000 lakini pale Temeke 3000
ni kila kitu mpaka Kinga.
 
  • Thanks
Reactions: KUN
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana KIMBOKa ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni.

NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?

Jina lako na tabia zako haziendani,zinaa ni deni ogopeni mungu,jua kabisa ukizini sawa na umekopa lazima ulipe kwa hiyo faham kuwa lazima uje uziniwe na wewe! Iwe mwanao,mkeo,dada yako,
 
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana KIMBOKa ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni.

NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?


Wa vichochoroni huwa wana vibwana wao pembeni, wanaweza kukuibia/kukubaka. badilika na ujirekebishe mzee wa kujirekebisha
 
mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya temeke, tandika na sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana kimboka ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni. Nb: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara sina fedha ya kuolea, sina fedha ya kuhonga warembo mtaani nifanyeje damu inachemka?
=manoah;4909786]
poleni sana
 
pole Mzee wa kurekebisha ulidhani unarekebisha kumbe nawe wanakurekebisha!!!!

Kiukweli wanawake malaya kama umenizira unatakiwa uwe macho kama askari magereza anavyochunga mfungwa asitoroke vinginevyo ndiyo hayo majuto ni mjukuu.

Mwisho cheap is expensive.
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume bahili hivi hata umuambie alete mahari ya jogoo atasema linauzwa tshs 15,000 na hanazo.
sasa hata akioa atalisha mke huyu?
Karibu uzaramoni mke unapewa bureeeeeeeeeeeeeee! Labda usitake mwenyewe tuuu.
 
Mimi sio changudoa nafuata huduma kwa sababu ni nafuu kuliko mtaani.
Huku mtaani utatakiwa kulipia gesti 5000 - 15,000 lakini pale Temeke 3000
ni kila kitu mpaka Kinga.

Unachotakiwa kufanya sasa na wewe ni kwenda kumchukua tena huyo malaya au rafiki yake mwambie nataka long time mpaka asubuhi halafu tafuta gest ya kwenu ukishamlala asubuhi unamwambia sina kitu unampa nauli tu na hela ya supu au mnampiga mande usiku huo huo.
 
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana KIMBOKa ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni.

NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?
umeyataka mwenyewe kaka na hayo ndo matokeo yake!waswahili wanasema vya bure gharama!kuwa makini sana siku nyngne watakuibia mpaka nguo na utambea uchi!
 
Umeyataka mwenyewe kaka.angalia sana siku nyingne watakuibia mpaka nguo na utatembea uchi.waswahili wanasema vya bure ni ghali ndo kama yaliokupata!
 
Back
Top Bottom