Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa wale wengi wao ni wezi nawashauri wadau wenzangu ambao mara nyingi tunakutana lakini mukiwa hapa jukwaani mnajifanya hampo yaani si wadau lakini mnapenda tun kujua habari za madanguro ni hivi kuweni makini sana na wale wanaopatikana KIMBOKa ni wezi halafu huduma zao wanapenda vichochoroni.
NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?
NB: Wapo wanaotaka kujua kwanini nimekuwa naenda huko mara kwa mara
SINA FEDHA YA KUOLEA, SINA FEDHA YA KUHONGA WAREMBO MTAANI
NIFANYEJE DAMU INACHEMKA?