Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nashukuru kwa kunikaribisha jamvini wana JF japokuwa sikubisha hodi.
Ni matumaini yangu kuwa kutokana na jamvi hili nchi yetu ya Tz itaweka historia ambayo vizazi vijavyo vitaithamini na kuienzi.
Tutaendeleza mapambano ndani ya jamvi na zaidi zaidi tunakoishi ili kuhakikisha kizazi chetu hiki hakipiti kabla tanzania yenye neema kupatikana.
ANY
Hakuna shida karibu sana saa nyingine mlango unakuwaga wazi tu na mgeni anachoma ndani straight karibu sana.