masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,369
- 19,224
si afadhali aombe kuliko kumkuta geto kwa mshkaji wanaangalia pamoja
alafu mkeo kajifunga kanga moja imeloa yaani alivyotoka bafuni direct kwenda kuomba movie
hapo ndipo utakaporudi kazini na kuchua machine gun ama short gun ama kirungu ama mikwara na kuitumia ipasavyo