Changamoto za ulinzi wa usiku

Changamoto za ulinzi wa usiku

si afadhali aombe kuliko kumkuta geto kwa mshkaji wanaangalia pamoja

alafu mkeo kajifunga kanga moja imeloa yaani alivyotoka bafuni direct kwenda kuomba movie

hapo ndipo utakaporudi kazini na kuchua machine gun ama short gun ama kirungu ama mikwara na kuitumia ipasavyo
 
alafu mkeo kajifunga kanga moja imeloa yaani alivyotoka bafuni direct kwenda kuomba movie

hapo ndipo utakaporudi kazini na kuchua machine gun ama short gun ama kirungu ama mikwara na kuitumia ipasavyo

Mungu wangu atapona mtu kweli hapo?
 
halafu akiwa nyumbani dem wako hupenda kwenda kuomba movie za kibongo kwa jamaa, kibiriti na n.k

Si afadhali kuomba muvi.......mtiti ni pale huyo mshikaji (Tony) mtanashati, muongeaji......alafu kila mkiwa na demu wako, kila mnachoongea au kuona, yeye ana refer kwa mshikaji...mnaangalia tv mnamuona Dudubaya..wife anakwambia Tony anamchukia huyu jamaa....balbu imeungua chumbani....unapiga hesabu ya kupanda ubadilishe..anakwambia Tony akisimama kwenye stuli anafikia...mnasikia harufu ya pombe...Tony huyo...jamaa ni mpiga maji wa kisirisiri....mnasikia mlango umebamizwa, wewe na wife mnashtuka...wife anakwambia...huo ni mlango wa Tony..mlango umevimba fremu inashindwa kutoshea..
 
Si afadhali kuomba muvi.......mtiti ni pale huyo mshikaji (Tony) mtanashati, muongeaji......alafu kila mkiwa na demu wako, kila mnachoongea au kuona, yeye ana refer kwa mshikaji...mnaangalia tv mnamuona Dudubaya..wife anakwambia Tony anamchukia huyu jamaa....balbu imeungua chumbani....unapiga hesabu ya kupanda ubadilishe..anakwambia Tony akisimama kwenye stuli anafikia...mnasikia harufu ya pombe...Tony huyo...jamaa ni mpiga maji wa kisirisiri....mnasikia mlango umebamizwa, wewe na wife mnashtuka...wife anakwambia...huo ni mlango wa Tony..mlango umevimba fremu inashindwa kutoshea..
inabidi nimpeleke kwa Tony usiku huhohuo kesho yake namuita shemeji kiroho safii tu!

Na ili ifanikiwe namkandamiza kwanza kama viwili halafu ndo nampeleka akamalizie kwa Tony na waanza maisha yao!
 
duuuh yani wewe mkuu natamani kujua unafanya kazi gani. maana unajiwaziaga vitu vingi sana!

JICHO TAI maisha yangu naunga unga tu, bora mkono kinywani, leo fundi, kesho daktari, siku nyingine dereva nk nk, ila sijafikia hatua ya YAHAYA
 
JICHO TAI maisha yangu naunga unga tu, bora mkono kinywani, leo fundi, kesho daktari, siku nyingine dereva nk nk, ila sijafikia hatua ya YAHAYA

wewe mkuu huishi vituko. hongera kwa ujasiriamali bana.
 
Si afadhali kuomba muvi.......mtiti ni pale huyo mshikaji (Tony) mtanashati, muongeaji......alafu kila mkiwa na demu wako, kila mnachoongea au kuona, yeye ana refer kwa mshikaji...mnaangalia tv mnamuona Dudubaya..wife anakwambia Tony anamchukia huyu jamaa....balbu imeungua chumbani....unapiga hesabu ya kupanda ubadilishe..anakwambia Tony akisimama kwenye stuli anafikia...mnasikia harufu ya pombe...Tony huyo...jamaa ni mpiga maji wa kisirisiri....mnasikia mlango umebamizwa, wewe na wife mnashtuka...wife anakwambia...huo ni mlango wa Tony..mlango umevimba fremu inashindwa kutoshea..

Duu FYATU uko vizuri! nimeipenda hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom