Samaritantz
New Member
- Nov 18, 2024
- 4
- 13
Habari za wakati huu jamani. Mimi ninachangamoto moja ninapendwa na mwanamke ambae tayali kwao amesha tolewa posa na huyo mwanamke hataki kuniacha.
Naombeni ushauri wadau.
Naombeni ushauri wadau.