shangoo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 325
- 362
Dini
Kwanza namchukia aloleta dini kwasababu zimetubagua na kututenga kwenye jamii,pili kama umekulia maadili ya dini flani ukitaka kuoa/kuolewa upande mwingine lazima washauri watajiinua sana kukushauri tena kwa mifano hadi ya wajomba na mashangazi jinsi dini ilivyonachangamoto kwenye uchumba
ELIMU
hapa napo pagumu wachumba wanaweza wasioane kisa mmoja anaelimu kubwa kuliko mwenzake sana kwa wanaume ndo inachangamoto kwenye familia zetu ukizidiwa elimu na mwanamke
PESA
hapa napo panachangamoto ila sio sanaaa kama kwenye DINI.
Hivi ni kweli dini inaweza kufanya umuonaye anafaa kuwa mke/mume akawa adui kisa ndugu Waislamu/wakristo na hii inachangia familia nyingi kukosa baraka manake unakuta hata ndugu wa karibu tofauti na wazazi wanakuona kama MUASII wa dini yenu endapo utaoa/kuolewa na mtu mwenye dini tofauti na yako,ndoa nyingi sinaishia bomani kwa (shekhe/mchungaji) DC.unaishia kufunga ndoa kwa baraka za DC na serikali yake badala Mwenyezi Mungu.
Kwanza namchukia aloleta dini kwasababu zimetubagua na kututenga kwenye jamii,pili kama umekulia maadili ya dini flani ukitaka kuoa/kuolewa upande mwingine lazima washauri watajiinua sana kukushauri tena kwa mifano hadi ya wajomba na mashangazi jinsi dini ilivyonachangamoto kwenye uchumba
ELIMU
hapa napo pagumu wachumba wanaweza wasioane kisa mmoja anaelimu kubwa kuliko mwenzake sana kwa wanaume ndo inachangamoto kwenye familia zetu ukizidiwa elimu na mwanamke
PESA
hapa napo panachangamoto ila sio sanaaa kama kwenye DINI.
Hivi ni kweli dini inaweza kufanya umuonaye anafaa kuwa mke/mume akawa adui kisa ndugu Waislamu/wakristo na hii inachangia familia nyingi kukosa baraka manake unakuta hata ndugu wa karibu tofauti na wazazi wanakuona kama MUASII wa dini yenu endapo utaoa/kuolewa na mtu mwenye dini tofauti na yako,ndoa nyingi sinaishia bomani kwa (shekhe/mchungaji) DC.unaishia kufunga ndoa kwa baraka za DC na serikali yake badala Mwenyezi Mungu.

