lfc2808
Member
- Mar 22, 2021
- 61
- 38
Hii issue ya petrol serikali itatueni haraka, haiwezekani lt 1 mteja anunue kwa 6000 Urambo -Tabora-tz wasafiri wanatozwa nauli kubwa mno sheli zote zimefungwa, na inaonekana ndo wanaouza mafuta ya rejareja mitaani Hali Ni mbaya Sana Urambo na Kaliua Tabora, nauli imeongezeka mara 2.
Pia soma:
Simiyu: Kuna uhaba mkubwa wa mafuta ya Petroli kwenye Wilaya ya Bariadi
EWURA: Tuna mafuta ya kutosha Nchini, wenye vituo lazima wawe na mikataba na waagizaji
Pia soma:
Simiyu: Kuna uhaba mkubwa wa mafuta ya Petroli kwenye Wilaya ya Bariadi
EWURA: Tuna mafuta ya kutosha Nchini, wenye vituo lazima wawe na mikataba na waagizaji