Changamoto ya umeme kuisha haraka na kupiga shoti mwilini

Udochi

JF-Expert Member
Jul 25, 2015
761
1,006
Waheshimiwa,

Ninapoishi kuna changamoto mbili za umeme;

1) Umeme unaisha haraka sana tofauti na kawaida
Kwenye nyumba niliyokuwa naishi awali nilikuwa natumia umeme wa 15,000/- tu kwa mwezi,
Wakati ninapoishi sasa, umeme huo nautumia kwa siku 10 tu hali ya kuwa vifaa vyangu ni vilevile na matumizi ni yaleyale

Na sishei umeme na mtu mwingine.

2) Changamoto ya pili, umeme unaonekana kuwa mkali sana kiasi cha kupiga shoti mwilini
  • Unapoigusa charger ya simu ikiwa kwenye socket hata kama socket imezimwa.
  • Unapocharge PC ukiigusa baadhi ya sehemu.
  • Ukiunganisha pasi kwenye socket, ukiigusa tu shoti yake mwilini ni hatari.
  • Na kifaa chochote kipitishacho umeme kikiunganishwa na socket tu, ukikigusa mwili hupigwa shoti.

Ningeomba kujuzwa ufumbuzi wa changamoto hizi wakuu
 
Waheshimiwa,

Ninapoishi kuna changamoto mbili za umeme;

1) Umeme unaisha haraka sana tofauti na kawaida
Kwenye nyumba niliyokuwa naishi awali nilikuwa natumia umeme wa 15,000/- tu kwa mwezi,
Wakati ninapoishi sasa, umeme huo nautumia kwa siku 10 tu hali ya kuwa vifaa vyangu ni vilevile na matumizi ni yaleyale

Na sishei umeme na mtu mwingine.

2) Changamoto ya pili, umeme unaonekana kuwa mkali sana kiasi cha kupiga shoti mwilini
  • Unapoigusa charger ya simu ikiwa kwenye socket hata kama socket imezimwa.
  • Unapocharge PC ukiigusa baadhi ya sehemu.
  • Ukiunganisha pasi kwenye socket, ukiigusa tu shoti yake mwilini ni hatari.
  • Na kifaa chochote kipitishacho umeme kikiunganishwa na socket tu, ukikigusa mwili hupigwa shoti.

Ningeomba kujuzwa ufumbuzi wa changamoto hizi wakuu
Kuna leakage ya umeme, ukitaka kuamini angalia balance ya Luku yako halafu zima main switch kwa SAA nzima, halafu washa kisha angalia tena balance ya Luku utakuta umeme umepunguwa unit bila wewe kutumia, hapo ujuwe moja kwa moja ni leakage, kaguwa na kile chuma cha esilodi kama kipo.

Kwa kifupi shida zote ulizonazo zinatatuliwa na Fundi umeme anayetambuwa kazi yake, Tanesco hawafanyi maintanance kama hizo ni juu ya mteja mwenyewe.

Halafu kwa Nyumba iliyofanyiwa wire ring muda mrefu huwa zinatakiwa kupitiwa kukaguwa box za wire ring.
 
Waheshimiwa,

Ninapoishi kuna changamoto mbili za umeme;

1) Umeme unaisha haraka sana tofauti na kawaida
Kwenye nyumba niliyokuwa naishi awali nilikuwa natumia umeme wa 15,000/- tu kwa mwezi,
Wakati ninapoishi sasa, umeme huo nautumia kwa siku 10 tu hali ya kuwa vifaa vyangu ni vilevile na matumizi ni yaleyale

Na sishei umeme na mtu mwingine.

2) Changamoto ya pili, umeme unaonekana kuwa mkali sana kiasi cha kupiga shoti mwilini
  • Unapoigusa charger ya simu ikiwa kwenye socket hata kama socket imezimwa.
  • Unapocharge PC ukiigusa baadhi ya sehemu.
  • Ukiunganisha pasi kwenye socket, ukiigusa tu shoti yake mwilini ni hatari.
  • Na kifaa chochote kipitishacho umeme kikiunganishwa na socket tu, ukikigusa mwili hupigwa shoti.

Ningeomba kujuzwa ufumbuzi wa changamoto hizi wakuu
Pole sana ndugu!
Hilo tatizo linatatulika kiufundi, Hizo ni baadhi ya huduma zetu, naomba tuwasiliane kwa namba 0711756341 kwa ukaguzi na utatuzi wa shida yako!

mbali na upotevu wa umeme! ishara hizo zitaathiri hadi ubora wa vifaa vyako vinaweza kuungua au kuharibika mapema usipotatua tatizo, kibaya zaidi ni ishara ya hatari kwako mtumiaji, vifaa vyako, nyumba hiyo.

Suruhisho ni either kutengeneza au Kuhama nyumba hiyo chaguo ni lako!

unaweza kutupigia mafundi tuliosajiliwa na Ewura na kutambuliwa na tanesco kwa simu 0711756341,

Au pia unaweza kutembelea ofisi za tanesco zilizokaribu na wewe kwa ufafanuzi pia unaweza kuwapigia tanesco wenyewe kwa simu ya miito namba 0748550000 ukaomba ufafanuzi
 
Pole sana ndugu!
Hilo tatizo linatatulika kiufundi, Hizo ni baadhi ya huduma zetu, naomba tuwasiliane kwa namba 0711756341 kwa ukaguzi na utatuzi wa shida yako!

mbali na upotevu wa umeme! ishara hizo zitaathiri hadi ubora wa vifaa vyako vinaweza kuungua au kuharibika mapema usipotatua tatizo, kibaya zaidi ni ishara ya hatari kwako mtumiaji, vifaa vyako, nyumba hiyo.

Suruhisho ni either kutengeneza au Kuhama nyumba hiyo chaguo ni lako!

unaweza kutupigia mafundi tuliosajiliwa na Ewura na kutambuliwa na tanesco kwa simu 0711756341,

Au pia unaweza kutembelea ofisi za tanesco zilizokaribu na wewe kwa ufafanuzi pia unaweza kuwapigia tanesco wenyewe kwa simu ya miito namba 0748550000 ukaomba ufafanuzi
Unatumia diplomatic language tu, lakini hapo hakuna tatizo la kurekebishwa na Tanesco.

Mimi siyo Fundi lakini naelewa, ukweli apate Fundi wa kumtatulia hilo tatizo.
 
Unatumia diplomatic language tu, lakini hapo hakuna tatizo la kurekebishwa na Tanesco.

Mimi siyo Fundi lakini naelewa, ukweli apate Fundi wa kumtatulia hilo tatizo.
TANESCO wanaweza kumtatulia tatizo kwa kumkatia umeme....

TANESCO tunawaangazia maisha yenu
 
Unatumia diplomatic language tu, lakini hapo hakuna tatizo la kurekebishwa na Tanesco.

Mimi siyo Fundi lakini naelewa, ukweli apate Fundi wa kumtatulia hilo tatizo.
ambacho hakijaeleweka hapo ni nini? Nimesema tatizo lale linatatulika kiufundi, atafte fundi registered wa kulitatua, lakini pamoja na yote hayo Siyo vibaya kama atapenda ushauri huo apewe na mamlaka za luku ambayo ni tanesco ili aridhike!

ujue ukiwa mganga ukimwambia mtu karogwa unatakiwa kumuondolea majini anaweza asikuamini sana hadi pale akiambiwa na wengine kwamba karogwa ...akatafte mganga ndipo anapata iman!

Tanesco watamshauri atafte Fundi ndipo atakuwa na uhakika wa kutupigia tunapatikana kwa namba 0711756341. au atufolloww instagram @Samico-tanzania Tunatoa ushauri bure huko
 
Back
Top Bottom