Changamoto ya kupata AVN ,nataka kukushtaki chuo

Changamoto ya kupata AVN ,nataka kukushtaki chuo

jey n

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
227
Reaction score
215
Habari za muda jukwaa la sheriff,nimemaliza chuo tangu 2020 lakini mpaka leo sina AVN ili niweze kujiunga na masomo ya chuo kikuuu.
Sasa basi baada ya kuona napigwa danadana kwa kutopeleka matokeao yangu Nacte,sasa nafikiria kwenda mahakamani.
Naombea ushauri wanasheria kwenye hili.
 
Kabla ya kushitaki chuo, ushawahi kuwasiliana na NACTVET kujua wao wanakusaidiaje kama ukienda na vyeti vyako ? Au matokeo hayo ni lazima yapelekwe na chuo na si vinginevyo ?
Kama unaweza kupeleka mwenyewe na ukafanikisha ishu yako basi fanya hivyo badala ya kupoteza gharama na muda huko mahakamani.
 
Kabla ya kushitaki chuo, ushawahi kuwasiliana na NACTVET kujua wao wanakusaidiaje kama ukienda na vyeti vyako ? Au matokeo hayo ni lazima yapelekwe na chuo na si vinginevyo ?
Kama unaweza kupeleka mwenyewe na ukafanikisha ishu yako basi fanya hivyo badala ya kupoteza gharama na muda huko mahakamani.
Utaratibu ni mpaka chuo wapeleke matokeo aisee.
 
Utaratibu ni mpaka chuo wapeleke matokeo aisee.
Kama ni hivyo, unaweza kushtaki chuo kama itasaidia. Japo kwa upande wangu nadhani ni vema umwone Exam officer myajenge kama ni mwelewa. Shida ya mifumo yetu ni kwamba kwenda mahakamani wakati mwingine haikuhakikishii kuwa utapata haki yako. Taasisi nayo inaweza kutumia nguvu kubwa kuhakikisha chuo hakipati dosari. Lkn kama una evidence zinazojitosheleza "its okay" kwenda mahakamani.
 
Kama ni hivyo, unaweza kushtaki chuo kama itasaidia. Japo kwa upande wangu nadhani ni vema umwone Exam officer myajenge kama ni mwelewa. Shida ya mifumo yetu ni kwamba kwenda mahakamani wakati mwingine haikuhakikishii kuwa utapata haki yako. Taasisi nayo inaweza kutumia nguvu kubwa kuhakikisha chuo hakipati dosari. Lkn kama una evidence zinazojitosheleza "its okay" kwenda mahakamani.
asante kwa ushauri
Pole sana...


Cc: Mahondaw
asante mpaka leo nashindwa kuendelea na chuo.
 
Back
Top Bottom