Changamoto ya kuoa/Kupata mke

Changamoto ya kuoa/Kupata mke

"..natafuta mke lakini sijafanikiwa kumpata ninae mtaka.."

Tatizo lako lipo hapo. Hakuna "mke unayemtaka" kuchagua mke lazima uweke clause ya "compromise" maana hata mwanamke utakayempata kwake hautakuwa mume anayemtaka bali mume anayeweza kuishi naye.
Siku ukibadili hiyo mindset bila shaka utapata mke mwema, in the meantime jitahidi kuja kuwa mume bora.
 
Unafanya uamuzi mzuri na muhimu kwa maisha yako. Kila la kheri mkuu.

Ushauri:
1. Kuwa makini sana kwenye zoezi la uchaguzi. Sio kila king'aacho ni dhahabu.
2. Huna sababu ya kuwa na presha za kuoa. Uko kwenye age inayofaa kuoa lakini kwa miaka hiyo yako bado una muda wa kutosha wa kumtafuta mtu sahihi. Nakuomba usiwe desperate utaumia mbaya. Ukiwa desperate uwezo wako wa kufanya maamuzi unavurugika.
3. Wanawake wana uwezo mkubwa sana wa ku-fake ili ampate mwanaume anayemtaka. Tumia akili kufanya maamuzi.
4. Usifumbie macho baadhi ya vigezo vyako vya msingi in a woman. Ukiona mtarajiwa ana upungufu (tatizo kubwa la kitabia) usikubali ahadi ya kubadilika baada ya ukishamuoa. Mambo hayo yana tendency ya kujirudia at a certain point in time kwa watu wengi na bahati mbaya ni kuwa kama ushamuoa tayari unapoteza power ya kutosha kumbadilisha (hasa km alikupa ahadi ya kubadilika ili usimbwage). At that time hashindwi kukuambia ulinikuta niko hivi....kumbuka anakuwa hana vya kupoteza vingi. Yeah...ashaolewa. Ha ha ha
Asante sana mkuu
 
subira yavuta heri, usikurupuke subiri mda wa Mungu bado, ila kwa mda wako unaona teyari
 
Yaweze kana ni mm unae mtafuta njoo kwangu tufanye maisha.

Si lazima BWANA ajibu kwa moto anaweza kumtumia mwanadamu
 
Mkuu wewe ni mtu makini sana na inavyoonekana hata hukuwahi kujihusisha na mambo ya mapenzi direct.
 
Back
Top Bottom