Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 3,379
- 7,529
Ziwe zinamwagikia humo humo ndani, hautakuwa na haja ya kujizuiaPa kuilaza sio shida, tatizo lina endelea
Ziwe zinamwagikia humo humo ndani, hautakuwa na haja ya kujizuiaPa kuilaza sio shida, tatizo lina endelea
Mi sio muumini wa ChaputaNYETTO HIZO :
Nyetto zimeua Gate Valve.
Bado umri na wakti mkuu
Uliolewa ukiwa na miaka mingapi m?, jamaa yako je?Unafikiri umri gani ndio sahihi kwako
Poa mkuuBado umri na wakti mkuu
Acha kujichukulia sheria mkononi.Wakuu nimekuwa nakumbwa na changamoto ya kumwaga mbegu, kila ninapo lala usingizini.
Changamoto hii ina kama miezi kadhaa, mwanzoni nili dhani ni issue normal pengine ni kutokana na issue za semen retention au wenge la ukuaji.
ila kadri siku zilivyo kwenda mambo ni yale yake, kila niki lala nakitupa tu.
.
Nili jaribu kwenda kwa mtaalamu wa afya ya uzazi, akaishia kuni ambia masuala ya hormone imbalance, sijui sex appetite iko juu hivyo nishushe.
nime fanya hivyo, ila bado kadhia ipo. Je nini chanzo na kuna suluhisho zaidi?
I mean no malice to nobody
View attachment 3586024
UnamtishaKwishaaaaaaaaa 😂
Sinaga utaratibu huo, ni muda mrefu sanaAcha kujichukulia sheria mkononi.
Chelkenge usha anza nongwaKwishaaaaaaaaa 😂
Mmmmmmmmh!Sinaga utaratibu huo, ni muda mrefu sana
Ndio uhalisiaMmmmmmmmh!
Dah ume ni roast sana mkuu 😅😂Unavyolala kunaathiri sana.
Ukilala kifudifudi unazidisha msuguano na presha kwenye eneo la prostate na sehemu za siri.
Hii huwa inatuma signal kwa mfumo wa fahamu kwamba "shughuli imeanza," kumbe ni godoro tu unalimenya.
Dah naona kweli mwanangu 😁Dalili za uzee hizo...🤣
Korodan haina tena nguvu ya kuhold...so kuna leakage🤣🤣🤣....kutoka kwa Dr. UchwaraDah naona kweli mwanangu 😁
Matyako yako nguruwe poriKuna mjomba wangu alikuwa na tatizo kama hilo, hakumaliza wiki tukaanza kumuita ashura 😎