Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,504
- 9,945
Jibu ni hili hapa.
Sababu
uko kwenye reproductive age.
Semen zinazalishwa kwa wingi.
Ila inaonekana semen hazitoki,
PRoduction iko juu ila matumizi hakuna.
unapolala mwili unarelax, brain inakuwa haina kazi nyingi , inafungua kichupa cha semen na kuzipunguza.
Inavyoonekana una tamani kuzichapa papuchi ila huzichapi.
Sasa rate ya kujirudia rudia ndan ya wiki ni kubwa. Far frm normal.
Ata angekuwa ana mapumbu makubwa kama nguruwe. Asingekuwa ana mwaga namna hii .
Yaan involuntary ubongo uruhusu umwage mara 5 ndan ya siku 7?.
No way.