Changamoto ya kumwaga sperm, kila ninapo lala usingizini

Changamoto ya kumwaga sperm, kila ninapo lala usingizini

1. Una ndoa ya gizani
-namanisha umeoa jini kahaba linalokuwa linafanya mapenzi na wewe, mbaya zaidi ni kama linakubaka ndyo maana huwez jua ni sangapi umemwaga
-majini yanaweza kufanya mapenzi na wewe likiwa katika sura ya mwanamke/mme au likiwa limekupoteza fahamu, wewe upo hapo pa kupotezewa fahamu.

2. Unaweza jikuta unazaa watoto majini katika ulimwengu wa majini

3. Hali hyo inaweza pelekea ukawa tasa/mgumba katika maisha yako yote kama hautachukua hatua za kiroho
-nimesema kiroho maana hapo unatumikishwa kiroho na ni mbaya sana.

4. Inawezekana kuna mwanamke/mwanaume ulikuwa naye na mkaachana sasa ameanza kukuchezesha na anaweza kukupa madhara ya kudumu kama hautachukua hatua nilizozitaja hapo namba 3.
 
Kweli hilo lilikuwa la kwenda kwa mtaalamu wa afya?

Ina maana hujui kabisa namna ya kutatua?

Wanangu tukazeni tupo pungufu uwanjani.
Mkuu sikuhizi nisha acha kujifanya mjuaji, maana ukubwa wa kichwa kwenye tanuru la moto ni hasara tupu.

Miezi zaidi ya miwili bado changamoto ipo,licha ya kusafisha mrija what's next?.

Halafu walio shauri mtaalamu, nao ni mawaki bro!
 
Back
Top Bottom