Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
- Thread starter
- #41
Kiukweli sikumbuki mara ya mwisho kuzitazama, na kuhusu ndoa umri bado mkuu.Usiangalie picha za ngono, na Oa
Kiukweli sikumbuki mara ya mwisho kuzitazama, na kuhusu ndoa umri bado mkuu.Usiangalie picha za ngono, na Oa
Punguza kuwaza ngonoMara chache sana kuziota, most times niki amka nakuta mzigo usha jifanyia service.
Je hali hii hudumu kwa muda upi?, Kuna suluhisho!
kuoa sio umri kama una miaka 18+ na uko timamu kiakili,kiafya na kiuchumi oaKiukweli sikumbuki mara ya mwisho kuzitazama, na kuhusu ndoa umri bado mkuu.
Alhamdulilahi mambo si mabaya, ila bado mkuu vitu flani flani hivi.kuoa sio umri kama una miaka 18+ na uko timamu kiakili,kiafya na kiuchumi oa
👊Alhamdulilahi mambo si mabaya, ila bado mkuu vitu flani flani hivi.
Sperm retention ulifanya kwa muda gani?Mkuu sikuhizi nisha acha kujifanya mjuaji, maana ukubwa wa kichwa kwenye tanuru la moto ni hasara tupu.
Miezi zaidi ya miwili bado changamoto ipo,licha ya kusafisha mrija what's next?.
Halafu walio shauri mtaalamu, nao ni mawaki bro!
Pole rafikikwenye hili yame nishinda rafiki
Kaka kuna miezi 6+, tena tulivyo kuwa tunacheza basketball ndio nika zamia kabisa.Sperm retention ulifanya kwa muda gani?
Siku mchana ukinyandua usiku napo hua zinatoka?Kaka kuna miezi 6+, tena tulivyo kuwa tunacheza basketball ndio nika zamia kabisa.
Kaka mpaka naleta uzi, ujue ni kubaya.Siku mchana ukinyandua usiku napo hua zinatoka?
"Sex Appetite " umeishushaje?Wakuu nimekuwa nakumbwa na changamoto ya kumwaga mbegu, kila ninapo lala usingizini.
Changamoto hii ina kama miezi kadhaa, mwanzoni nili dhani ni issue normal pengine ni kutokana na issue za semen retention au wenge la ukuaji.
ila kadri siku zilivyo kwenda mambo ni yale yake, kila niki lala nakitupa tu.
.
Nili jaribu kwenda kwa mtaalamu wa afya ya uzazi, akaishia kuni ambia masuala ya hormone imbalance, sijui sex appetite iko juu hivyo nishushe.
nime fanya hivyo, ila bado kadhia ipo. Je nini chanzo na kuna suluhisho zaidi?
I mean no malice to nobody
View attachment 3586024
Kwenye kupiga show upepo upoje zile interval ya 'node to node' zipo kama zamani?Kaka mpaka naleta uzi, ujue ni kubaya.
I went 5/7 ili ku solve tatizo, still bado bila bila.
NAKAZIA1. Una ndoa ya gizani
-namanisha umeoa jini kahaba linalokuwa linafanya mapenzi na wewe, mbaya zaidi ni kama linakubaka ndyo maana huwez jua ni sangapi umemwaga
-majini yanaweza kufanya mapenzi na wewe likiwa katika sura ya mwanamke/mme au likiwa limekupoteza fahamu, wewe upo hapo pa kupotezewa fahamu.
2. Unaweza jikuta unazaa watoto majini katika ulimwengu wa majini
3. Hali hyo inaweza pelekea ukawa tasa/mgumba katika maisha yako yote kama hautachukua hatua za kiroho
-nimesema kiroho maana hapo unatumikishwa kiroho na ni mbaya sana.
4. Inawezekana kuna mwanamke/mwanaume ulikuwa naye na mkaachana sasa ameanza kukuchezesha na anaweza kukupa madhara ya kudumu kama hautachukua hatua nilizozitaja hapo namba 3.
Unafikiri umri gani ndio sahihi kwakoKiukweli sikumbuki mara ya mwisho kuzitazama, na kuhusu ndoa umri bado mkuu.
Ni ngumu kufanya sex mchana hata mara 2 alaf na usiku umwage involuntary.Siku mchana ukinyandua usiku napo hua zinatoka?