Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 643
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kazi kwenye shirika moja la maendeleo ya jamii.
Katika shirika ilo nilipelekwa kijijini sana uko mkoani Tabora ambapo niliyekua nalipwa mshahara ni mimi pekeangu huku wanachama wengine wa shirika wakifanya kazi ya kujitolea na kupokea tu posho ndogondogo.
Asee nilipata changamoto sana kwenye iyo kazi, wanachama wanajua kabisa kazi yao ni ya kujitolea na wakakubali kufanya shughuli za shirika lakini ikawa mimi naonekana kana kwamba ndie ninafaidi pesa za shirika na figisu nyingi sana zilianza kunikumba.
Nani mwenye uzoefu wa kufanya kazi kwenye mashirika ya aina hii atoe experience yake hapa
Katika shirika ilo nilipelekwa kijijini sana uko mkoani Tabora ambapo niliyekua nalipwa mshahara ni mimi pekeangu huku wanachama wengine wa shirika wakifanya kazi ya kujitolea na kupokea tu posho ndogondogo.
Asee nilipata changamoto sana kwenye iyo kazi, wanachama wanajua kabisa kazi yao ni ya kujitolea na wakakubali kufanya shughuli za shirika lakini ikawa mimi naonekana kana kwamba ndie ninafaidi pesa za shirika na figisu nyingi sana zilianza kunikumba.
Nani mwenye uzoefu wa kufanya kazi kwenye mashirika ya aina hii atoe experience yake hapa