balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,451
- 12,566
Uko Kimara suka kwa nani?
Kwa mauzo ya 30k hadi 50 k kwa siku mbona ni mwanzo mzuri?
Kwa mauzo ya 30k hadi 50 k kwa siku mbona ni mwanzo mzuri?
Bro hapo umesema viduka duka uchwara tuwaachie wenyewe wapemba ekeza ktk technology.Kijana wa leo kama unataka kufanikiwa wekeza akili yako kwenye TECHNOLOGIA. Nina maana tafuta maarifa katika nyanja hiyo ya TECHNOLOGIA
AHSANTE
Mkuu wewe unaishi mkoa gani? Kwa mkoa nilio toka mimi hali ya kimaisha ni duni sana ila Chakula ndo kidogo kipo chini ukilinganisha na dar.Ulikosea kuhama mkoa daslam watu wengi wanamaisha ya kimaskini sana alaf gharama za maisha zko juu
Technologia mkuu ni pana sana ni vyema tukapeana mwongozo namna ya kujikita huko mkuu.Bro hapo umesema viduka duka uchwara tuwaachie wenyewe wapemba ekeza ktk technology.
Sawa mkuu ntazingatiaMimi nakushauri changanya na vitu vya sokoni kama nyanya, vitunguu, viazi na vitu vingine. Utakuja nishukuru
Kimara suka mtaa wa amani mkuu, mwanzo ni mzuri ila kwa trend ya biashara sion ongezeko la wateja kulingana na site yangu ki biashara, kulia kwangu na kushoto kwangu kuna maduka kwahiyo najikuta nahudumia mjirani kama Nyumba 5 iv au 6Uko Kimara suka kwa nani?
Kwa mauzo ya 30k hadi 50 k kwa siku mbona ni mwanzo mzuri?
Ok we pambana na daslam kama unaona kuna hafadhali kuliko ulipotoka , biashara ikikataa nishtue nikuunganishe kwenye kazi za viwanda unapiga kazi kwanzia j3 Hadi ijumaa alaf ijumaa unalipwa buku 5 yako safi haina kelele, kwa siku buku.Mkuu wewe unaishi mkoa gani? Kwa mkoa nilio toka mimi hali ya kimaisha ni duni sana ila Chakula ndo kidogo kipo chini ukilinganisha na dar.
Pamoja mkuu. Ila mbona ujira ni mdogo sana kulipwa elfu tano 5k kila ijumaa au umekosea?Ok we pambana na daslam kama unaona kuna hafadhali kuliko ulipotoka , biashara ikikataa nishtue nikuunganishe kwenye kazi za viwanda unapiga kazi kwanzia j3 Hadi ijumaa alaf ijumaa unalipwa buku 5 yako safi haina kelele
Buku buku kwa siku, ila ipo sehem ya buku mbili kwa siku ijumaa unapewa 10k yako ila kazi zake ni Ngumu kuliko kwenye bukuPamoja mkuu. Ila mbona ujira ni mdogo sana kulipwa elfu tano 5k kila ijumaa au umekosea?
Dah! Sawa mkuu.Buku buku kwa siku, ila ipo sehem ya buku mbili kwa siku ijumaa unapewa 10k yako ila kazi zake ni Ngumu kuliko kwenye buku
Tafuta kafremu huko uswahilini kama manzese hukooAsante sana mkuu, ipo siku tutaandika historia.
Mbona suka huku njia ya kwenda Golan pamechangamka? Uza bidhaa ambazo wengine hawana. Nenda zako Loliondo Kibaha beba Nazi,matunda nk hapo barabarani,Tembon na kw msuguli jion unapiga pesa.Uko Kimara suka kwa nani?
Kwa mauzo ya 30k hadi 50 k kwa siku mbona ni mwanzo mzuri?
Hii nchi kweli ngumu,unalamba buku kwa siku!!! Ni kazi ya masaa mangapi hiyo mzee babaOk we pambana na daslam kama unaona kuna hafadhali kuliko ulipotoka , biashara ikikataa nishtue nikuunganishe kwenye kazi za viwanda unapiga kazi kwanzia j3 Hadi ijumaa alaf ijumaa unalipwa buku 5 yako safi haina kelele, kwa siku buku.
Mkuu karibu Sana, ntafurahi kukuona ukija hapa.Kimara suka labda biashara ndogondogo ila kwa frem napaona pagumu pamepoa sana mm pia niko kimara suka mda mrefu japo huo mtaa siukumbuki nitakutembelea mkuu nikiweza kufika
Asante sana kwa mawazo mapya mkuu ntalifatilia hili then nitaleta mrejesho.Mbona suka huku njia ya kwenda Golan pamechangamka? Uza bidhaa ambazo wengine hawana. Nenda zako Loliondo Kibaha beba Nazi,matunda nk hapo barabarani,Tembon na kw msuguli jion unapiga pesa.