Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 339
- 683
- Thread starter
- #41
Wapi hapo Dada angu? Kodi yake bei gani?Njoo hapa pana frem moja iko wazi, utapanga, utafanya duka genge.
Ukiweza hata chips unaweka hiyo huduma haipo jirani, asubuhi utauza chai /vitafunwa. Ukikomaa utalala na 50 kupanda juu.
Utalala humo humo kwenye frem maana sasa vijana mmekuwa wajanja wajanja mnakata watu kwa majembe.
Naomba nikuone PM pls