Changamoto upatikanaji wa NaPA Reference number

Changamoto upatikanaji wa NaPA Reference number

Sasa mtendaji akipigiwa simu na napa, Labda mtendaji 1 atakuwa na watu 100 kwenye shehia yake ambao wataomba mkopo hawa wote atawaidhinisha kwenye simu atakayopigiwa? au Mtendaji akiingia jina lake tu inatosha watu wake kutambuliwa kwa wale washaojisajili na kupata ref number??
Mtendaji Access aliyonayo ni kwenye makazi ambayo anahusika tu. Mipaka yake ya kiuongozi.
Jaribu kupitia
View: https://youtu.be/paT8wvOmoDc?si=zxk5lrVUT-jRvRDd
Ili upate uelewa wa jumla kuhusiana na zoezi zima.
Btw, Muda bado upo mpaka Agosti 30.
 
Halmashauri wanajivuta sana.
Piga simu, wacheki wasap kwa kujitambulisha kama mtendaji wa eneo husika utasikilizwa kwa mfumo huu
Jina:
Mkoa:
Wilaya:
Kata:
Mtaa:
Email:
Phone:
0738938757
0658098809
5520 Anzia hapa.
 
Mtendaji anaidhinisha ombi moja moja
Sasa mtendaji akipigiwa simu na napa, Labda mtendaji 1 atakuwa na watu 100 kwenye shehia yake ambao wataomba mkopo hawa wote atawaidhinisha kwenye simu atakayopigiwa? au Mtendaji akiingia jina lake tu inatosha watu wake kutambuliwa kwa wale washaojisajili na kupata ref number??
 
Back
Top Bottom