Changamoto upatikanaji wa NaPA Reference number

Changamoto upatikanaji wa NaPA Reference number

Nimejaribu kutumia ussd hii *152*00# kujisajiri kwenye anwani za makazi,, imeonesha ombi limepokelewa,, lakin hadi sasa sijapata mrejesho,, ngoja tuone labda baada ya masaa 24 watajibu
Kujisajili ni APP ya NAPA DC LIVE. Acha kupoteza muda na USSD
 
Screenshot_20250628_001204_Chrome.jpg
 
  • Thanks
Reactions: _ly
oa mkuu kwenye mkoa mbona inazingua najaza mkoa niliopo wananambia mkoa si sahihi
 
Kabisa.
Unaweza kuwa na nyumba yako Songea wakati ukiwq Mwanza kikazi au kiutafutaji unapoanga.
Hivi viongozi wakuu wa serikali nao si wanaishi kwenye nyumba za kupanga?
Kabisa.
Unaweza kuwa na nyumba yako Songea wakati ukiwa Mwanza kikazi au kiutafutaji ukiwa unapanga nyumba.
Hivi si viongozi wetu wakuu wa serikali nao si wanaishi kwenye nyumba za kupanga?
 
tupe mwongozo mkuu wa kujisajili online
NaPa hujisajili, bali tayari nyumba zote zimesajiliwa.

We jua Mkoa wako, Wilaya yako, Kata, Mtaa kisha Barabara na Namba ya nyumba husika utapata hiyo posta code.
Pia unaweza andika jina la mwenye nyumba utaletewa details zote
 
NaPa hujisajili, bali tayari nyumba zote zimesajiliwa.

We jua Mkoa wako, Wilaya yako, Kata, Mtaa kisha Barabara na Namba ya nyumba husika utapata hiyo posta code.
Pia unaweza andika jina la mwenye nyumba utaletewa details zote
upo nyuma sana postcode haiitajiki na inajulikana kwa urahis mbona s tunazungumzia NaPa referrence namba
 
Serikali yangu sijui kwa nini huwa inakurupuka sana kwenye upande wa mifumo .
Mfumo wa maombi ya mkopo mwaka juzi ulisumbua sana hadi kupelekea baadhi ya waombaji kukosa mikopo.

Anyway poleni sana japo sijui kama watatatua hiyo changamoto tuendelee kupaza sauti labda
Si kweli kaka, hakuna sehemu unatakiwa kujua taarifa za mmiliki, labda kama ww hukusajiliwa mwanzo mana huu mfumo mara ya kwanza kwetu walipita mwaka 2022,baadhi walisajiliwa mi nlkw shule bado ckuchukuliwa taarifa, kama taarifa zako hazipo kwny mfumo ndo utatakiwa angalau useme namba ya simu/NIDA ya mtu mwngn ambaye mnarelate ambaye mnakaa nyumba moja...NA NI NAMBA YA SIMU TU/NIDA.....binafsi nimeona ni rahisi zaidi kuliko zile 3000 wanazonichukuliaga watendaji wa mtaa
 
Si kweli kaka, hakuna sehemu unatakiwa kujua taarifa za mmiliki, labda kama ww hukusajiliwa mwanzo mana huu mfumo mara ya kwanza kwetu walipita mwaka 2022,baadhi walisajiliwa mi nlkw shule bado ckuchukuliwa taarifa, kama taarifa zako hazipo kwny mfumo ndo utatakiwa angalau useme namba ya simu/NIDA ya mtu mwngn ambaye mnarelate ambaye mnakaa nyumba moja...NA NI NAMBA YA SIMU TU/NIDA.....binafsi nimeona ni rahisi zaidi kuliko zile 3000 wanazonichukuliaga watendaji wa mtaa
😃😃😃
 
Serikali yangu sijui kwa nini huwa inakurupuka sana kwenye upande wa mifumo .
Mfumo wa maombi ya mkopo mwaka juzi ulisumbua sana hadi kupelekea baadhi ya waombaji kukosa mikopo.

Anyway poleni sana japo sijui kama watatatua hiyo changamoto tuendelee kupaza sauti labda
2. Watendaji wa kata na mitaa wanafundishwa kila siku saa 4 asbh, wananchi wanafundishwa kila siku saa 10 jioni, kila siku! Tangia tarehe 14 cjui ile...kila siku jamaa wana hizo sessions!

3. Namna sahihi ya kujua namba yako ya nyumba ni kutumia public app ya NAPA, bofya button ya jihudumie, kisha anwani za karibu ukiwa hapo home....Tz kama Ulaya siku hizi

Mfumo haupo perfect, ila ni bora sana na rahisi zaidi kuliko kwenda kwa mtendaji, jamaa wamekula sana hela zng za kuandika barua ya mkono
 
Back
Top Bottom