Hahaha kwamba wewe siyo govt official ila ukawaambia TCRA wamfungulie akaunti WEO?Mimi niseme hiyo kazi niliifanya mwenyewe na mtendaji akawa muungwana kujifunza kwani nikamwelekeza nini afanye, niliwasiliana na wadau TCRA wakafungua hiyo akaunti ya mtendaji wa mtaa baada ya kutuma taarifa zake kama email, majina matatu, mtaa, namba za simu.
Katika ishu sensitive kama ya mtu kuomba mkopo? Hahaha sawa bwana